Recent content by A2Zlove

  1. A2Zlove

    Karibuni sana kwenye restaurant yangu

    Habari wadau. Nina ofisi ambayo nimeifungua mwezi uliopita. Ni restaurant lakini pia inatoa huduma za catering. Ofisi zipo kawawa road opposite The Open university of Tanzania. Kwa sasa bado natafuta masoko hasa ya catering katika shughuli mbalimbali. Pia tunajihusisha na bakery & pastry...
  2. A2Zlove

    Mume ni mtamu asikwambie mtu

    Pole sana! lakini ukitaka kujua zaidi just put yourself in her shoes, hapo ndo utaelewa zaidi
  3. A2Zlove

    INAUZWA Shamba linauzwa kigambon

    Kaka pesa ngum sana kwa sasa, shuka kidogo mkuu nipo serious
  4. A2Zlove

    INAUZWA Shamba linauzwa kigambon

    Mkuu bei yako ya mwisho ni kiasi gani?
  5. A2Zlove

    Natafuta fremu

    Habari zenu wana JamiiForums, Natafuta fremu ya biashara maeneo ya Survey - Dar es Salaam. Pia natafuta sehemu ya kufungua mgahawa. Kwa mwenye taarifa yoyote anijuze tafadhali. Asanteni sana.
  6. A2Zlove

    Restaurant

    Thanks mkuu, nimefika hapo na tayari nipo kwenye maongezi na mmiliki japo kodi ipo juu sana. Anahitaji $ 3000 per month, but tutafika katika mwafaka. Na kama kuna mahali pengine please nijuze. Unauza vifaa gani mkuu?
  7. A2Zlove

    Hospitali ya mbunge Godbless Lema Arusha utata, mmiliki wake hajulikani kisheria

    Aisee karudia mara tatu akisema " we have to stop this project"
  8. A2Zlove

    Hospitali ya mbunge Godbless Lema Arusha utata, mmiliki wake hajulikani kisheria

    Ukichangia kwa mihemko, utakuwa huitendei haki jamii na wananchi wa Arusha. Pamoja na kutoelewana kwa hao viongozi wetu wawili, Lema alikuwa akitegemea maslahi gani baada ya hospitali hiyo kukamilika ambayo maslahi hayo yatakosekana baada ya RC kuweka jiwe la msingi hadi kufikia Mh Lema kudai...
  9. A2Zlove

    Restaurant

    Since when iko available mkuu
  10. A2Zlove

    Restaurant

    Habari za siku wana Jamii. Natafuta restaurant ya kukodi. Pia mwenye taarifa na kuwepo kwa tenda ya kuendesha canteen ya chuo, ama taasisi yoyote anijuze. Asanteni sana.
  11. A2Zlove

    Aina za Mayai

    Wana JF, napenda leo tuzungumzie aina za Mayai na upishi wake. Nimeamua kuzungumzia mayai kutokana na wengi wetu kutojua aina hizi za mayai na kujikuta pindi tukitoka na kwenda mojawapo ya baadhi ya hotel zenye hadhi ya nyota tano kujikuta tukiagiza mojawapo ya aina mbili ya mayai kama vile...
Back
Top Bottom