"Habari brother!!!!
Habari za leo Edo Kumwembe? Pole sana na majukumu mazito sana ya Uchambuzi hapo Wasafi!!!Pole na kazi nzuri sana ambazo umekuwa ukizifanya kwa nyakati tofauti tofauti zinazowa 'inspire' vijana.....Hongera pia kwasababu wewe ndio uti wa mgongo wa vijana wengi wachambuzi na...
Kuna utofauti mkubwa wa kuchambua ,kutumika kupenyeza ajenda za sehemu Fulani au timu fulani,kutumika muamvuli wa uchambuzi ku attack watu fulani na mwengine yanayoweza kufanana na hayo na kuusimulia mpira
Tanzania baada ya ujio wa Azam Media na kujitolea 100% kutangaza na kuonesha ligi zetu za...
Nimekukubali bro
Mimi number one fan wa Uno ila zile dakika aliniangusha
Fid nimempa uwo u leader kwasababu km ulikuwa mfuatiliaji mzuri
Kuna zile 'beats' ngumu sana na zile laini sana ambazo kina Uno walizishindwa na wengine yeye alipita nazo vizuri
Ila nimeshukuru kuona watatu ktk wa5 umewakubali
Kipindi kidogo ndani ya kipindi cha PLANET BONGO cha EAST AFRICA RADIO NA TV kinachoongozwa na mtangazaji Abdallah Khamis Wambuwa,
Ambacho kinatambulika kama DAKIKA 10 ZA MAANGAMIZI
Ambapo Rapa mbali mbali wanaonesha uwezo wao waku ghani kwa 'beats' mbali mbali kimekatika mwaka
Ombi binafsi kwa...
Niwe shuhuda tu wa hili
Mimi mama yngu wa kambo ni mpare daaaaaaaaaaah siwafichi
Nikienda home kupumzika huwa simalizi mapumziko
Ninaapia kwa Mungu
Ni mchoyo typically
Afu Girlfriend wangu akipiga cm ndo shida inaanza
Marafiki zangu wakija home tobaaaaaaa hadi wana wananiambia
Yani huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.