Recent content by a.k.a_Mimi

  1. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Bunge Kukosa Demokrasia katika nchi ya Demokrasia

    Nadhani inatumika nguvu nyingi kuliko akili Sent using Jamii Forums mobile app
  2. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Bunge Kukosa Demokrasia katika nchi ya Demokrasia

    Tuna safari ndefu kuwa civilised kidemokrasia Sent using Jamii Forums mobile app
  3. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Bunge Kukosa Demokrasia katika nchi ya Demokrasia

    Ninachokiona kwa sasa ni muhimili wa bunge kukosa Demokrasia inayojitosheleza na maamuzi ndani ya bunge kuwa yasiyo katika misingi ya Demokrasia huru ya Bunge. Kivipi!? Bunge linaloongozwa na Spika na Makamu wake limekuwa likifanya maamuzi kibabe na sio kidemokrasia ya kibunge, Mfano huru...
  4. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    uùhh
  5. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

    Sipati picha mshahara wa polisi unachukua miaka mingapi kufikia hiyo bilioni moja Sent using Jamii Forums mobile app
  6. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Naulizia tetesi za usajili barani ulaya

    Neymar kwenda PSG kwa £196m nikiibadilisha kwa hela yetu ya madafu ni Kama trillions karibu 600, Neymar amekubali Barca wanajipa moyo, Pesa inaongea wakati huohuo PSG wanataka kumsajili Sanchez kwa pesa ndefu Tetesi: PSG to hold talks over £196m deal to capture Neymar from Barcelona Sent using...
  7. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ataka Rais Magufuli asusiwe kila mahali na mataifa mengine duniani

    Suala la kususiwa kimataifa hiyo kauli siyo ya kizalendo, n.a. watakaonyanyasika ni wananchi wa Hali ya chini sio yeye Lissu...nimesikiliza kwa makini anavyosema naona hana point za msingi sitokei kanda ya ziwa na sijaona udikteta wa Rais Magufuli anaoongelea Sent from my SM-G950F using...
  8. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Idris Sultan ataonekana katika filamu ya ‘Ballin …On the Other Side of the World

    Idris muite Rayrapa sasa hivi
  9. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Watuhumiwa wa Escrow wapandishwa kizimbani, Rugemalira aanza kudhoofika

    Hizi pesa za escrow safi kabisa sheria inafuata mkondo wake....Tibaijuka sijui wanamuachaje achaje
  10. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Daz Baba: Nina uwezo wa kutengeneza bunduki

    Bangi ya kibiti
  11. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Ujio mpya wa Davido ni shidaaa!!

    30billion for your account......versace na Gucci for your bodi....
  12. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

    Katika list yote hapo gari ambalo lina tatizo kubwa ni Freelander na tatizo lake ni Gasket na kuchemsha hasa kwa nchi zetu za joto kali
  13. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Yajue Magari yanayoongoza kwa ubovu duniani

    Katika list yote hapo gari ambalo naafiki mzigo kwa ubovu ni freelander...very risky zina tatizo kubwa la Gasket na kuchemsha...hasa kwa nchi zetu za joto
  14. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke au mwanaume wako akijiunga Badoo muogope

    Revolution ya Facebook/insta/snapchat na Twitter imeua social networks za zamani na kuzifanya ziwe za dating na biashara Kaman hizo hui ni pamoja na Badoo, Hi5, Tagged, soon MySpace
  15. a.k.a_Mimi

    JamiiForums Tanzania Haya ndo maoni ya Prof. Shivji baada ya wenye vyeti feki kufutwa kazi

    Kajichanganya tuh! Cheti ni kitambulisho cha kuqualify..... Mambo mawili kuhusu fake education na education of below standards ndio main point yake huwezi rukia hiyo point kama haujaclear from top archiving genuine candidates
Back
Top Bottom