Recent content by A k A

  1. A

    Ukweli wa ajali ya ndege Kisarawe

    Nawe punguani umeshindwa hata kugundua hilo kanyaboya ndege haina Engine inarukaje jiongeze akili pumbavu wewe kengeee
  2. A

    Boda boda wanajua kuaibisha sana

    Nawe umeng’ang’ania Kempinski Kempinski kwanza Tanzania hatuna Hotel hiyo tuna Hyatt na pale kuna Barrier boda hawezi kufika Reception atakushushia nje ya Geti Kuu na hata ivyo suala la utashushwa wapi ni kutokana na Ujinga upumbavu na Ufalaaa wako kutomuelekeza aliyekubeba sehem ya kushusha...
  3. A

    Kitabibu nguruwe ni salama au ndo walage tu watajijua wenyewe?

    Naupitia uzi huku napata Makange ya kitimoto ugali na Castle Lite bardiiiiiiiiiiiiìi Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
  4. A

    Kuna ukweli gani kuhusu wimbo wa Ali Kiba 'Mac Muga' alimuimbia Jose Mtambo?

    Sure mi navyofaham wakati Kiba anatoa Mac Muga bado Jose Mtambo alikua na hit song zake radio na bado alikua anapiga show inshort alikua hajapotea kiasi cha kuimbwa kwenye maudhui ya Mac Muga
  5. A

    Aliyegongwa na mwendokasi aruhusiwa, aliingia mzee mweusi, ila katoka kijana mweupe, tunaomba ufafanuzi

    Bongo nyoso unatakiwa uache watu waamini wakitakacho ivi mamlaka idanganye kifo cha mtu mmoja ktk ajali ambayo imetokea dhahiri ili iweje wakati ajali zinatokea kila mara na watu wengi wanakufa na idadi yao inatangazwa bila kificho huyo mtu ana impact gani haswa mpaka taarifa zake zifichwe sema...
  6. A

    Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

    Period Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
  7. A

    Kipindi cha Clouds 360 ina ujuaji uliopitiliza mpaka wasichokijua

    Hicho kipindi toka alivyoondoka Hudson Kamoga tu kikawa cha hovyo hovyo tu
  8. A

    MSG chamber Squad vs SKM Gang, A game of chance

    Mpare mwenzio kapigwa unaanza kuhanya hanya vyeo ni nafasi na wakati uteule na utenguzi hakuna mwenye nguvu dhidi ya mamlaka akae kwa kutulia Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
  9. A

    Nimesoma hii tweet ya Ubalozi wa Marekani nikaona aibu

    Aibu yako inaweka sahani ya ugali mezani kwako Tafuta hela
  10. A

    Tabia ya kunusana harufu ya Pombe makazini Jumatatu ni unafiki na uzandiki usiofaa

    Chupa imeamka na chai Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
  11. A

    Hakuna faida kuwaheshimu wafu | Mpe heshima anapokuwa hai

    Hata daraja la Mkapa lilikuepo hata kabla hajafariki mtoa mada punguza wivu
  12. A

    Pwani: Mbaroni kwa kumiliki kiwanda cha kutengeneza silaha

    Tanzania ya viwanda #mitano tena#
Back
Top Bottom