Ukweli wa ajali ya ndege Kisarawe

Ukweli wa ajali ya ndege Kisarawe

Habari za muda huu wakuu.

Kuna taarifa za ndege kuanguka huko mkoani Pwani (Kisarawe) zinazoleta taharuki kidogo. Je, kuna watu labda wamebahatika kushuhudia au wenye ukweli wa taarifa yenyewe?

Mamlaka imesema kuwa sio ajali bali ni mazoezi ya uokoaji pindi linapotokea suala kama hili, sasa maswali yanaibuka kutokana na mwonekano wa ajali katika picha za uokoaji:

Je, mazoezi hayo huhusisha abiria wa kawaida au ni jeshi la uokoaji pekee?

Je, zoezi linahusisha abiria kujeruhiwa au kupoteza maisha katika kukamilisha zoezi hilo?

Je wananchi hupewa taarifa za mazoezi hayo ili wajiandae kiakili maana picha zinonesha watu kujeruhiwa vibaya kama sio kufa?

View attachment 2700698

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Naanza kupoteza imani na taarifa za utayari.

This shit is real
 
Habari za muda huu wakuu.

Kuna taarifa za ndege kuanguka huko mkoani Pwani (Kisarawe) zinazoleta taharuki kidogo. Je, kuna watu labda wamebahatika kushuhudia au wenye ukweli wa taarifa yenyewe?

Mamlaka imesema kuwa sio ajali bali ni mazoezi ya uokoaji pindi linapotokea suala kama hili, sasa maswali yanaibuka kutokana na mwonekano wa ajali katika picha za uokoaji:

Je, mazoezi hayo huhusisha abiria wa kawaida au ni jeshi la uokoaji pekee?

Je, zoezi linahusisha abiria kujeruhiwa au kupoteza maisha katika kukamilisha zoezi hilo?

Je wananchi hupewa taarifa za mazoezi hayo ili wajiandae kiakili maana picha zinonesha watu kujeruhiwa vibaya kama sio kufa?

View attachment 2700698

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Nchi hii tajiri sana, ina ndege za kuangusha kila siku kwa ajili ya mazoezi ya utayari.. Lakini inapotokea ajali ya kweli kina Majaliwa ndio waokoaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya tukubali ni utayari!
Ila utayari utakuwa umebuma sasa, maana inavyoonekana kuna majeruhi pengine na hata vifo!
Ila kwa kuwa mamlaka zimesema ni utayari huwezi kusikia wakisema ni madhara gani yalitokea, ikiwemo majeruhi ama vifo, hilo tusahau kusikia!!
Lakini hii inashangaza maana ajali za kweli na za wazi zikitokea hakuna kinachofanyika kwenye uokozi!

Ila inatia shaka maana hizi ndege zinazotumika kwenye hayo majaribio mbona hazieleweki?!
 
Milladi uyo mpuuzi sana huyu
Media yake amegeuza ndio tarumbeta ya sisiem. Hivi mkoje ninyi macheckbob wahedi. So umetuona na sisi tuna akili kama zenu. Ndege imeanguka msije na stori za mazoezi.

Acheni upumbavu
 
Milladi uyo mpuuzi sana huyu
Media yake amegeuza ndio tarumbeta ya sisiem. Hivi mkoje ninyi macheckbob wahedi. So umetuona na sisi tuna akili kama zenu. Ndege imeanguka msije na stori za mazoezi.

Acheni upumbavu

Nawe punguani umeshindwa hata kugundua hilo kanyaboya ndege haina Engine inarukaje jiongeze akili pumbavu wewe kengeee
 
Back
Top Bottom