MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,656
- 22,443
😀 😀😀😀 mnatishana Sana.
Ahaa haaaah tulitishiwa na kuaminishwa kuwa vyombo vya ulinzi a usalama vina 'm-back' Lowassa. Wenye A, b, c na systems za ulinzi na usalama walielewa kuwa ni chai kwenye winter ya Siberia.Kama Lowassa na nguvu zake zote alitulizwa na mshamba meenye mamlaka..wengine wote hawawezi kufanya lolote
Hii mada ni kubwa kuliko uwezo wa kupambanua hoja hivyo tulia usome commentsMpare mwenzio kapigwa unaanza kuhanya hanya vyeo ni nafasi na wakati uteule na utenguzi hakuna mwenye nguvu dhidi ya mamlaka akae kwa kutulia
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app