Recent content by A JUSTMAN

  1. A

    Hivi Paka wana nini jamani?

    Hehee, mwisho itakuwa nchi ya watu wasojulikana
  2. A

    Job Ndugai: Sijui nina watoto wangapi!

    Hii aibu uasherati siyo sifa nzuri.
  3. A

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Poleni wakuu kwa kusumbuliwa na polisi. Vita dhidi ya umaskini Tanzania yahitaji uwe real fighter kama harakati za Dr. Martin Luther King Jr.
  4. A

    Tofauti kati ya viongozi wa Kenya na Tanzania katika kutii maagizo ya mahakama

    Wakenya wamefunzwa kwa maumivu makali ya 2007 sasa Tanzania naona watawala nao watajifunza baada ya kupelekwa ICC. Mjinga huwa hajifunzi kitu hadi apate maumivu.
  5. A

    Nani Role model Wako?

    Hata nishambuliwe kwa risasi na wanaojiita "watu wasojulikana" damu yangu ni mwanaharakat mtupuu
  6. A

    Nani Role model Wako?

    Dr.Martin Luther King Jr. Chief Albert Luthuli Dr. James Aggrey Kwegyir.
  7. A

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hakika Monaco pekee ndiyo ananinjia baharini hapa yani dah
  8. A

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilimpa Monaco wakuu naona kama maji ya shingo vile
  9. A

    Wazo: Tuwe na watalaam kwenye Forums

    Hiyo itasababisha forum idharaulike sana na kukimbiwa na members, umpige ban mtu kwa kutumia tu lugha ya kejeli hii sio sawa kabisa unashauri walete umungu mtu huku? Halafu wapo wengi wana ujuzi wa vipaji vya kuzaliwa sasa hawa unawaweka kundi lipi?
  10. A

    Kinachouma zaidi ni Lissu akirudi hata ambao hawakumpenda watampenda zaidi

    Rudi darasani ukajifunze kwanza kuandika vizuri, maana kama uandishi tu ni kama hivi shida tupu utawezaje kujenga hoja?
  11. A

    Uhuru awaita ' wale' majaji majambazi

    Sikumsikia huyu spika aise, sasa naona wanaojivika umungu mtu Tanzania ni wengi mkuu
  12. A

    Ni wakati wa Mbowe kuwaachia akina Heche, Lema uenyekiti

    Unamaana gani unapoeleza serikali siyo ya mchezomchezo?
  13. A

    Ni wakati wa Mbowe kuwaachia akina Heche, Lema uenyekiti

    Inapaswa raia kwa wingi wao sasa hilo unafikiri litawezekana lini? Kwanini isingekuwa tu vizuri kumlinda kwanza huyuhuyu mmoja ili hadi hao wengine wengi wakipatikana?
  14. A

    Ni wakati wa Mbowe kuwaachia akina Heche, Lema uenyekiti

    Kweli ndugu, CHADEMA haikuwajibika kumlinda TL hakika kwa hili mwenyekiti amezembea sana sasa tazama maumivu makubwa anayapata TL na hata wapenda haki pia.
Back
Top Bottom