Wakenya wamefunzwa kwa maumivu makali ya 2007 sasa Tanzania naona watawala nao watajifunza baada ya kupelekwa ICC.
Mjinga huwa hajifunzi kitu hadi apate maumivu.
Hiyo itasababisha forum idharaulike sana na kukimbiwa na members, umpige ban mtu kwa kutumia tu lugha ya kejeli hii sio sawa kabisa unashauri walete umungu mtu huku?
Halafu wapo wengi wana ujuzi wa vipaji vya kuzaliwa sasa hawa unawaweka kundi lipi?
Inapaswa raia kwa wingi wao sasa hilo unafikiri litawezekana lini?
Kwanini isingekuwa tu vizuri kumlinda kwanza huyuhuyu mmoja ili hadi hao wengine wengi wakipatikana?
Kweli ndugu, CHADEMA haikuwajibika kumlinda TL hakika kwa hili mwenyekiti amezembea sana sasa tazama maumivu makubwa anayapata TL na hata wapenda haki pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.