Ukiwa neutral unakua mboga ya nguvu za Giza!!
Huge statement!!
"Nilijenga vifrem tu na kaukumbi KWA nyuma!my friend acha!!!
Umewahi ambiwa una "Damu chungu na siku uchungu ukiisha tu unakwenda"
Na kweli unaona kuishiwa nguvu siku hadi siku, mawazo ya kifo yanakuelemea!
Nilipona hiyo!too bad!!
Mkuu
Wewe ni wa kiroho sana au ni wale kawaida tu so wa church sana wala wa msikitini sana!!?
Kama ni wa kawaida tafuta mtaalamu konki nenda kamweleze tatizo lako atakupa dawa utaoga na kuondoa hiyo kitu,yaani kuna kitu umefanyiwa ndio maana unahangaika!!!
Tafuta HATA shehe wa kisomo uweke...
Nitafurahi kama kesi hii iwe na back up ya dola nyuma!isije ikawa kama ni ya chadema tu ya kisiasa ccm na serikali itaichukulia kama ni kesi ya chadema na kuizimisha kiaina na kesi kuyeyuka ghafula!!
Mungu ibariki Tanzania yetu
hii
ACHA ujinga mkuu!
Tafuta mwanamke wa kukuzalia WATOTO na kukulelea familia Bas!!
Usitafute wa kusaidiana nae MAISHA utakuja lia na kusaga meno!
Tanya biashara,jenga nyumba vuta Binti mrembo mzalishe alee familia!tena asijue hata unapataje mali zako yaani awepo tu kama house girl mwenye hadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.