Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,774
- 24,209
Wakuu baada ya semina yetu kama chama cha UWABATA kufikia maadhimio ya kataa ndoa nmefanikiwa kuishi miaka mingi bila kuwa na mpango wa kuoa, hivyo target succeed ila japo watoto ni muhimu kuwa nao.
Changamoto zake
Nipo mvivu kupika but sipendi kula mgahawani.
Nipo mvivu kudeki, kufua na kufagia ndani.
Je, naweza kuishi na house girl (but hakuna kitu kitaendelea kati yetu rather than majukumu ya kila mtu)
Je, Jamii itanielewa?
Changamoto zake
Nipo mvivu kupika but sipendi kula mgahawani.
Nipo mvivu kudeki, kufua na kufagia ndani.
Je, naweza kuishi na house girl (but hakuna kitu kitaendelea kati yetu rather than majukumu ya kila mtu)
Je, Jamii itanielewa?