Recent content by _Trump

  1. _Trump

    Watu wanazidi kujitoa NSSF, kulikoni?

    Watu walioko kwenye mfuko wa PPF uku wanahaha hawapewi ela zao kazi washasimamishwa/kuacha miez 6 iliyopita. Kila siku wanatoa sababu tofauti sa hivi wanasema tusubir bunge. Ela tuweke sisi kutoa tusubir bunge[emoji35]
  2. _Trump

    Lowassa alipigiwa lini kura ndani ya CHADEMA?

    Vilaza wa kuharibu kura kama wa kuleeee ccm hamna ndo maana
  3. _Trump

    Gwajima mgonjwa, kesi yake yapigwa kalenda

    Leta mada ww za kuingza ela [emoji133] . Watu tuwe matajir kesho
  4. _Trump

    Washukiwa watatu wa mauaji Tanga wauawa wakati wa majibizano ya risasi na askari

    Maonyesho ya saba saba mkuu yameanza, usishangae tunakutana nao[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. _Trump

    Washukiwa watatu wa mauaji Tanga wauawa wakati wa majibizano ya risasi na askari

    Mwenyew ckuelewa kabisa it means majambaz hao walikua ata hawajatiwa ata pingu, na walikuwa bado wamebeba silaha zao began.
  6. _Trump

    Profesa Mkilaha ajipiga risasi bahati mbaya na kufa wakati akisafisha bastola yake

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kimenichekesha cha haangaliag movie
  7. _Trump

    Profesa Mkilaha ajipiga risasi bahati mbaya na kufa wakati akisafisha bastola yake

    Wez ck hiz wanaiba sukar na nyanya sio mpaka cash ndan
  8. _Trump

    Viongozi wanaoongoza kwa udikteta Afrika ni hawa

    nakumbuka miaka kadhaa iliyopita kuna chama kilisema hii nchi inahitaji dikteta ili nchi isonge, aya kaja baba naniiliii unaambiwa hapana uyu n dikteta anaminya............. sasa cjui mnakua mnahitaji dikteta wa aina gani [emoji23][emoji23][emoji23]
  9. _Trump

    Kwanini Watanzania tuko tofauti na Waafrika wengine?

    Ndo tulivyo. Ila naaomba kujifunza jinsi ya kuBold maneno.
  10. _Trump

    Madhara ya AC kiafya ni yapi?

    mtapigana ngumi
  11. _Trump

    TCRA na uzimaji wa simu: Ni sanaa, propaganda, utani au ufinyu wa teknolojia?

    Huku mbaba ana simu kubwaaa inaitwa randrover [emoji23][emoji23][emoji23], jana kasema niiangalie kama itazma, nkaandika imei ila hawakurudisha jibu. Na leo naona analonga nayo kama kawaida.
  12. _Trump

    TCRA na uzimaji wa simu: Ni sanaa, propaganda, utani au ufinyu wa teknolojia?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  13. _Trump

    Msanii Ray C azidiwa na Madawa ya Kulevya; asaidiwa na Polisi

    Mkuu akati anaendelea na tiba mwananyamala anawahamasisha kina TID, chid, alipokuwa akitoka pale anarud kwenye kijiwe chake, mwisho wa siku alipasua kioo cha docta wake. So msaada zaid ya hapo itakuwa...cjui labda kama ww utaweza
  14. _Trump

    Jeshi la polisi wachukulieni hatua Clouds FM

    [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  15. _Trump

    Basi la Tahmeed lililokuwa likitokea Tanga likielekea Dar es Salaam, lateketea kwa Moto

    Teh! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom