mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Kama ni Tsh 3bil hio ni pesa ndogo Sana kwa NSSF.PSFP nadhani deficit yao inakaribia 3 billion au zaidi
serikali inseam haifa pesa za kulipa hilo deni
Kama ni Tsh 3bil hio ni pesa ndogo Sana kwa NSSF.PSFP nadhani deficit yao inakaribia 3 billion au zaidi
serikali inseam haifa pesa za kulipa hilo deni
Now it makes sense lakini ungesema ni TZS basi ninge-conclude kwamba itakuwa ndo best social security fund not only in Tanzania but duniani kote!3 billion usd
PPF ndo hawafai kabisa, wamesitisha fao la kujitoa kwa sababu wanazozijua wenyewe.Hivi nini kinaendelea NSSF? Leo nilikuwa ofisi yao ya Ilala wanachama wamekuja wanataka kutoa pesa zao.
Je, kuna uwezekano kuwa NSSF inaelekea kufilisika kama PSPF? Kwanini serikali isiunganishe hii mifuko na pia kuruhusu Private Pension Plan badala ya mambo ya kulazimishwa kuingiza pesa kwenye hizi state pension funds.
Itakuwa salio halisomiPPF ndo hawafai kabisa, wamesitisha fao la kujitoa kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Salio halisomi!? Hivi kuna mfuko wenye pesa zaidi ya PPF hapa Bongo!? Hivi unajua kuwa na wanachama kutoka kwenye parastal organizations kama vile BOT, TRA, TPDC na mamlaka zote nchini kunafanya mfuko upate michango mikubwa mikubwa na pia hata ukusanyaji wake wa michango sio ule wa kukimbizana kama ilivyo kwa sekta binafsi? PPF ndio leader na hii imethibitishwa hata kwenye tuzo waliyopata hivi karibuni ya kuwa mfuko bora wa hifadhi ya jamii katika kila nyanja.Itakuwa salio halisomi
Hivi nini kinaendelea NSSF? Leo nilikuwa ofisi yao ya Ilala wanachama wamekuja wanataka kutoa pesa zao.
Je, kuna uwezekano kuwa NSSF inaelekea kufilisika kama PSPF? Kwanini serikali isiunganishe hii mifuko na pia kuruhusu Private Pension Plan badala ya mambo ya kulazimishwa kuingiza pesa kwenye hizi state pension funds.
Ukweli ni kwamba watu wengi... wanaachishwa kazi. mfano mm ni HR hapa ss tunahusika na kusafilisha magali na mizigo ndani na nje ya nchi.... tumesitisha mkataba na madereva 62 ndn ya miez mitatu hii na tunategea kuachisha wengine 27 mwezi ujao.......... Bandari imetuathiri sana kiukwl
Apo sawa. Km trillion 63 billion usd
Ppf wapo vizuri sana! Hawafanyi project za kichwa kichwa km nssf!na sio wafujaji km wenziwe na serikali haiwakopi sana km mifuko minginePPF ndo hawafai kabisa, wamesitisha fao la kujitoa kwa sababu wanazozijua wenyewe.
Watu walioko kwenye mfuko wa PPF uku wanahaha hawapewi ela zao kazi washasimamishwa/kuacha miez 6 iliyopita.Salio halisomi!? Hivi kuna mfuko wenye pesa zaidi ya PPF hapa Bongo!? Hivi unajua kuwa na wanachama kutoka kwenye parastal organizations kama vile BOT, TRA, TPDC na mamlaka zote nchini kunafanya mfuko upate michango mikubwa mikubwa na pia hata ukusanyaji wake wa michango sio ule wa kukimbizana kama ilivyo kwa sekta binafsi? PPF ndio leader na hii imethibitishwa hata kwenye tuzo waliyopata hivi karibuni ya kuwa mfuko bora wa hifadhi ya jamii katika kila nyanja.

wewe ni Hechi ala siyo...?Ukweli ni kwamba watu wengi... wanaachishwa kazi. mfano mm ni HR hapa ss tunahusika na kusafilisha magali na mizigo ndani na nje ya nchi.... tumesitisha mkataba na madereva 62 ndn ya miez mitatu hii na tunategea kuachisha wengine 27 mwezi ujao.......... Bandari imetuathiri sana kiukwl
hata mimi week ijayo najitoa NSSF makanjanja.