Wamechemka.........sana kama wamefikia hatua hiyo basi Waite Taasisi ya polisi.....Kwa taarifa yako nimoja ya kampeni mahsusi za jeshi la polisi kwa vyombo vya habari kuhusu mkakati wake wa kuliboresha..rejea ziara ya Mangu IPP & Clouds ndani ya siku moja..uwe una uliza bwegge wewe!
Kwa hiyo polisi wafanyeje?! Washauri! Au wakaikusanye studio yote ya clouds kama walivyokusanya ile mitambo yote ya UKAWA pale millenium towers na kuwakamata IT engineers wote.?! Waweke wazi polisi umeawaacha njia panda.Habari wana jf..
Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.
Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.
Wawaambie waache mambo ya kipimbi.....Kwa hiyo polisi wafanyeje?! Washauri! Au wakaikusanye studio yote ya clouds kama walivyokusanya ile mitambo yote ya UKAWA pale millenium towers na kuwakamata IT engineers wote.?! Waweke wazi polisi umeawaacha njia panda.
[emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hiyo polisi wafanyeje?! Washauri! Au wakaikusanye studio yote ya clouds kama walivyokusanya ile mitambo yote ya UKAWA pale millenium towers na kuwakamata IT engineers wote.?! Waweke wazi polisi umeawaacha njia panda.
Wanafanyaje?weka hapa tusikie.Kwani ni uwongo si ndo wanayoyafanya ayo
Na Pia Tofauti Ya Jumlisha Na MsalabaHuo Ndo mwisho wako Wa kufikiri....lazima uone hivyo.....lakini lazima ujue kutofautisha kati ya kujumlisha na msaraba.
Wamefichana?!Habari wana jf..
Wakati nikilisikiliza Clouds ...Leo nilisikia wakilichana jeshi la polisi.....Kwa kweli nilisikitishwa sana kama jeshi la polisi litakaa kimya dhidi ya huu upuuzi ambao unafanywa na clouds fm.
Nitakuwa wa kwanza kulishangaa hivi nini maana ya jeshi.....Ni lazima wawafundishe hao clouds fm utofauti uliopo kati ya jeshi na taasisi zingine za mkonge...Haiwezekani haiwezekani haiwezekani... Watieni adabu hao.
ulijifunza upuuuuziWambie wajue kutofautisha kati ya jeshi na Taasisi zingine za mkonge mi nilipokuwa jkt 2003 nilijifunza vitu vingi sana