2×1 maana yake 2 zikiwa moja unapata ngap.. Then hivyo hivyo 2×0 maana yake 2 zikiwa sifuri unapata ngapi?? usipende kufikiria kivivu namn hyo kila kitu kina sabab zake havikuwekwa tuu..
Wakuu,
Naomba kufahamu ivi naweza nikafanya backup ya picha zilizofutika kwenye simu ambazo zikuzisave "Google drive"??? Hakuna namna yoyote ya kufanya manuva??
Ni hilo tu kama wafahamu naomba unijuze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nna rafiki wangu wa kike, Mara nying huwa anapenda kuwa karibu na mie, kunipigia simu na text za mara kwa Mara..
Bt nmegundua mara nyingi nkiwa nae huwa nakuwa kama sina "swaggz" na naishiwa "poz"..
Bt kikubwa ni kwamba mara nyingi huwa nakosa story na vitu vizur vya kumwambia vya kumvutia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.