Kama kichwa kinavyojieleza, yeyote anayefahamu dawa ya kumfanya binadamu apate usingizi naomba anfahamishe..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
OK, thanks xana..yes kama walivyokushauri hapo juu,ni vema ukatujuza zaidi sio nzuri kuzitumia bila kujua sababu kwa nini hupati usingizi,kama ni mazingira ya kawaida jitahidi kuepuka vinywaji vyenye caffeine kabla ya kulala,kunywa maji mengi na bila kusahau mazoezi ni tiba muhimu mno,kimbia kuzunguka mitaa
Joto la huba baada ya mkao wa 69....utapata msingizi ulio mrua!.Kama kichwa kinavyojieleza, yeyote anayefahamu dawa ya kumfanya binadamu apate usingizi naomba anfahamishe..
Sent using Jamii Forums mobile app