Hii hadithi yako , kwangu naiona kama Time Travel ( nimetravel to the future )maana hiyo paragraph ya mwisho ni mle mle ninayoishi sasa, na hiyo ya hapo mwanzo ni kama vile kuna ushawishi upo ili nioe wa design hiyo [emoji85] .thanx kuna kitu nimepata hapa...
jamii forum imejaa vilaza kibao..... daaaaaah , hivi africa kuwa maskini sababu kubwa si hao hao wakoloni, wamenyonya rasilimali zetu mpaka wamechoka leo wanatutukana na bado watu wanamtetea . Kweli Afrika ni shithole...
But light(english) = mwanga (swahili)
I like the comment japo inamalekebisho machache sana, kwa speed ile ya light 3 × 10^8 m/s
Hata kama ingekuwa na mass kidogo kiasi gani viumbe wa duniani tungedhuliwa na mwanga wote unaotolewa na jua....
think about electron microscope...
inavyo destroy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.