Recent content by ___pennie

  1. ___pennie

    Historia ya familia ina umuhimu unapotaka kuchagua wa ubani?

    Kuchagua partner au wa kufanana na wewe ni uamuzi wa kibinafsi na inategemea mambo mengi, ikiwa ni pamoja na mazingira ya familia. Ingawa kwa uwelewa wangu historia ya familia inaweza kuwa na umuhimu kwa baadhi ya watu, si lazima iwe kigezo pekee. Mambo mengine kama vile tabia, maadili...
  2. ___pennie

    Simba bado ni mnyama?

    Kwa waliofuatilia mpira wa jana kati ya Simba vs Al ahly nani mnyama?. Wewe ubashiri wako ulimpa nani?. Mimi nilimpa simba pale sokabet bwana nikiwa na uhakika atamuua mwarabu. Lakini tuipe Simba maua yake bado wamefanya vizuri sana. Najua watani walisubiri simba wapigwe. Haya sasa Mwezi...
  3. ___pennie

    Kati ya ZEPPELIN na AVIATOR ipi kali?

    Zeppelin ni unyama mtupuuu
  4. ___pennie

    Ni sahihi kumtaarifu mpenzi wako kuwa una zawadi kutoka kwa ex?

    Wadau wa jamii naomba kujua hili, Je, ni sahihi kumwambia partner wako kwamba una zawadi ambayo alikupatia ex wako? Hii taarifa ni sahihi kushare na partner wako au ni bora kukaa kimya au kutupa/kugawa zawadi uliyopewa na ex?
  5. ___pennie

    Siku hizi mwanaume akikwambia anakupenda unaona kama utapeli, tutaolewa kweli?

    Hivi sijui ni mimi tu au kwa wanawake wote? Kwa karne ya sasa tutaolewa kweli au tutaishia kuwa Mababy mama tu? Siku hizi mambo yamekuwa mengi sana kiasi kwamba mtu akikwambia anakupenda unaona kama scam fulani hivi na hii ni kutokana na matukio tunayopigwa wanawake jamani? Au ni huu mji wa Dar...
  6. ___pennie

    Mbio za sakafuni huishia ukingoni

    Me nawaaminia Simba laima watoboe
  7. ___pennie

    Kitu gani cha kijinga uliwahi kufanya ulipozama kwenye mapenzi?

    Huyo dada ni Pickmeisha au Barbara the builder. Kama hamjui ni nn mkagoogle. 🤣 🤣 🤣 🤣
  8. ___pennie

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sikutegemea kama Man u angepigwa💔🤣
  9. ___pennie

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Usiku wa deni haukawii kuisha. Hatimaye leo Yanga uso kwa uso na Bamako. Mara ya mwisho Yanga alilazimishwa draw dakika za jioni kusababisha kijikeka kuchanika. Je, leo nimpe Yanga au Bamako? Ni wapi wana odds babkubwa?
  10. ___pennie

    Valentine's day, what can you do?

    Dar wapi kuna Park niende na mtoto wa ma mkwe:(.
  11. ___pennie

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Maisha ya sasa hivi hufai kumtegemea mwanaume tu. Unatakiwa ujiongeze kiaina.
  12. ___pennie

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi Naona ni sahihi cha muhimu mpunga tu.
Back
Top Bottom