Recent content by 666999

  1. 666999

    SoC03 Maabara za Vijijini ziboreshwe

    Habari za wakati huu waungwana Napenda kuchukua fursa hii kuwashukuru na kuwapongeza uongozi na timu nzima ya Jamii forum kwa kutupatia tena nafasi ya kuandika juu ya mambo mbalimbali juu ya jamii yetu na taifa letu kwa ujumla. Nikiwa kama mwana JF pia Mtanzania napenda kuchukua wasaa huu...
  2. 666999

    Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

    Mkuu sisi tuna NGO ambapo tunaruhusiwa kupokea pesa ndefu kutoka nje Tukipanga mchongo vizuri unaweka pesa na unakuja bongo unazitoa bila kelele
  3. 666999

    Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

    Mkuu,naomba kujua Ikiwa Dunia hapo mwanzo ilikua maji then baadae ndiyo kukajitenga kama tuonavyo milima,ardhi n.k Binadamu walitokea wapi? Walikuja baada ya maji kujitenga na kuona atmosphere hii ya sasa naamini Je walitokea wapi na nani aliwaleta Na kwa nini leo tupo weusi na weupe...
  4. 666999

    Building Better Tomorrow (BBT): Hongera Bashe, sisi wakulima tunasema piga hela za Rais Samia haswa, zile kwelikweli Kaka!!

    Kwanza hujasoma andiko la BBT Pili vijana wanaanza kupewa mafunzo ya kilimo,tayari mafunzo yanaendelea kwa vituo 15 Mwisho kijana atawezeshwa yafuatayo baada ya mafunzo 1.Shamba(likiwa tayari kwa kilimo cha kisasa na miundombinu) 2.Mtaji wa kulima kwa kuwezeshwa mahitaji yote 3.Soko kwa maana...
  5. 666999

    Plot4Sale Shamba la viazi vitamu linauzwa

    Wazo zuri,naomba Moderator wanisaidie
  6. 666999

    Sehemu ipi nzuri kushiriki na online slots?

    Kama utaweza ACHANA kabisa na michezo ya casino ACHA kabisa.
  7. 666999

    Plot4Sale Shamba la viazi vitamu linauzwa

    Mavuno ya mwaka huu ni ya chini maana mvua imenyesha ya wastani..matarajio kwa ekari 1 ni gunia 15 hadi 25
  8. 666999

    Plot4Sale Shamba la viazi vitamu linauzwa

    Kila mtu ashinde mechi zake mkuu....kwa taarifa yako bei ya gunia 1 la viazi kwa sasa kwa bei ya Geita ni 150,000/= Unataka wakulima woote walime mahindi?
  9. 666999

    Plot4Sale Shamba la viazi vitamu linauzwa

    Habari za muda huu wana jukwaa Naomba niende moja kwa moja kwenye mada,kwamba kuna Shamba la viazi vitamu ukubwa wa ekari 21 linauzwa. Shamba linapatikana mkoa wa Geita wilaya ya geita vijijini kata ya Nyalwanzaja. Shamba lipo barabarani usafirishaji ni qa uhakika. Viazi vimepandwa katikati...
  10. 666999

    Wanawake wa sasa mna nini?

    Lol [emoji38]
  11. 666999

    Wanawake wa sasa mna nini?

    Huu ndio ukweli Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom