Recent content by 4realy

  1. 4

    Wasaidizi wa kazi za ndani na maswahibu yao makazini

    Sie tumelelewa kibabe bila hg..nimejua heka heka zao baada ya kua na watoto
  2. 4

    Nimechoka

    U Better be harted by truth rather than being conforted by lies..akili kichwan mwako..pole mwaya
  3. 4

    Ukubwa wa kitanda ni sababu mojawapo ya ndoa kuvunjika

    Inakaukwel kidogo..lkn Kikizidi udogo hamkawii kuanguka wkt wa mgegedo..kikubwa najiachia kwa raha zangu
  4. 4

    Mpenzi wangu nimpendae ni "lesbian". Je, nimuache?

    Jaman mambo mengine hata hayaitaji ushauri..sasa c uko na mwanaume mwenzio au nsemeje..
  5. 4

    Mpenzi wangu nimpendae ni "lesbian". Je, nimuache?

    ha haaaa! Dawa ya moto ni moto.
  6. 4

    USHAURI TAFADHALI: Nime-fall kwa x-kicheche. Je atatulia?

    Shetani akizeeka anakua malaika..sa zote unahic kuibiwa ibiwa tu hata km huibiwi...tafta unaye endana naye ucjepata ugonjwa wa moyo bure..
  7. 4

    wanawake na mitazamo yetu kwenye mahusiano: kwa wanawake tuuu!!!

    Hongera mwaya..wakubadilika tutabadilika..lakini skio la kufa haliskii dawa..
  8. 4

    Nenda kaka,hukunipa nafasi niliyostahili

    Mtumie msg mwambie nenda mwana kwenda usie jua kwenda..utapata mwingine ucjali
  9. 4

    Natafta kazi ...

    Habari wanajukwaa..nina diploma in Early Childhood Education(ECD) natafta kaz ya ualimu katika shule,center,naweza pia kutunza watoto katika Day care au katika Ophanage yeyote.kwa anayenihitaji nipo tayari..naishi moshi
  10. 4

    Siko Free nashindwa kulala na Mpenzi wangu mpaka asubuhi kwasababu naogopa kujamba.

    Hah!cjui hamjazoeana..mh! Me hua nashutua mpaka mume wangu amejizoelea imekua part of our fan.mpaka ametungia jina anaita vishuto ...hahaaaa very fun
  11. 4

    jamani nyie wanaume

    Dah! Mbona kakupa makavu ivo spati picha umeumiaje polee.. Ndo shida ya "njoo tu ishi" amekukinai uyo atakua ameona mpungufu ambayo hatawezana nayo.. Lakin ajue hakuna aliyekamilika..tupa kule songa mbele
  12. 4

    Natamani mungu angenibadilisha niwe mwanaume

    Ni namna yakutaka kukwepa majukumu..mume wake akitoka job kila kitu anaagiza afanyiwe nakuletewa sasa yeye hataki kuhudumia mume anahisi ni utumwa. kwa akili yake ndogo akahic soln nikua mwanaume kumbe swala nikujikubali tu.. Na maisha yanasonga mbele. Am proud being a woman
  13. 4

    Natamani mungu angenibadilisha niwe mwanaume

    hili nalo neno..hebu ajiulize kwanza
  14. 4

    "Hivi Mpenzi Hebu Niambie umenipendea nini mimi"

    Mh.!nilishamuulizaga mume wangu hilo swal akanijib nisiri yake hawez niambia naeza ongeza doido nkaharibu mh
  15. 4

    MAONI : Ni sahihi kumtuma dem wako salama....

    Akaah..Me siendi.. Nkifika shop ntaanzaje nkikuta watu ndo kabisa ntanunua chumvi...
Back
Top Bottom