Habari wanajukwaa..nina diploma in Early Childhood Education(ECD) natafta kaz ya ualimu katika shule,center,naweza pia kutunza watoto katika Day care au katika Ophanage yeyote.kwa anayenihitaji nipo tayari..naishi moshi
Dah! Mbona kakupa makavu ivo spati picha umeumiaje polee..
Ndo shida ya "njoo tu ishi" amekukinai uyo atakua ameona mpungufu ambayo hatawezana nayo..
Lakin ajue hakuna aliyekamilika..tupa kule songa mbele
Ni namna yakutaka kukwepa majukumu..mume wake akitoka job kila kitu anaagiza afanyiwe nakuletewa sasa yeye hataki kuhudumia mume anahisi ni utumwa.
kwa akili yake ndogo akahic soln nikua mwanaume kumbe swala nikujikubali tu..
Na maisha yanasonga mbele. Am proud being a woman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.