Mhhhhhhhhhhhhhh! IF A LEOPARD CAN CHANGE ITS SPOTS THEN SHE CAN CHANGE!!!!!!!!! That is a ticking bomb! Just a matter of time kabla hujamboa!
- Ndugu Me370 kwani una umri gani?, Yawezekana umri wako ikawa ni sababu ya kutokujiamini kwa huyu mrembo akupendaye.
- Mwanamke akiamua kutulia basi hutulia kweli, zuli zaidi unafahamu historia yake ya nyuma na yeye anatambua kwamba unajua.
- Jiamini. Hakuna aliye mkamilifu.
Je mmepima afya zenu??
Je anafit vigezo vya aina ya mwanamke unayemtaka? Sawa ila muke muzuri uwe na moyo mugumu!! Unaweza pata ugonjwa wa Moyo.Mwanzoni moyo ulikuwa unanambia Hit & Run. Nika hit nikakolea nikanasa.
hivi mwanaume unataka kushindana uzuri na demu wako eti kakupita uzuri duh!!!alafu kutojiamini kwako ndo utazidi kugongewa....watu wanaowa mrax wa shivazi au mrina na unakuwa mama watoto na anatulia.one man thrush is another man.....malizia
Mimi huwa napima every January so bado ila haijawahi kutokea tukakutana bila kinga. Alafu yeye anachosema ni kuwa hajawahi kuwa na mtu bila condom toka azaliwe. Alisha nambia tukapime lakini. I'll get this done this saturday.