Wi-Fi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 2,091
- 1,388
Kuna ubaya gani kwenye hilo swali? Kwani wewe hujui umenipendea nini? Asa kwa nini ujishauri kujibu? Kuwa muwazi sema usikike.................. nyie ndo mnacomplicate mambo!! Hebu fikiri ukinambia unanipendea weusi wangu mangala unadhani nitaubadili kwa mkorogo?
I second you MJ1, ilo ni miongoni kati ya maswali marahisi sana na haina haja ya kujing'ata kujibu.. binafsi nikiulizwa nimempendea nini nasema tu hata kama ntamzidishia lakini siwezi acha kujibu..