Recent content by 3lly da prophet

  1. 3

    Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

    MUNGU ni mwema na kila la kheri kwako na madaktari wote watakaoshiriki upasuaji huo.
  2. 3

    TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    saiv wananiletea notification ya "Error: you can not edit academic qualifications" na hakuna changes yoyote
  3. 3

    TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Wazoefu wa ajira portal naombeni msaada. kipindi cha nyuma nilifunguaga account na kwenye academic qualifications nika upload vyeti ambavyo sio certified na wakili. Nilifanya hivyo mara mbili na vyote vinaonekana kwenye mfumo. Changamoto ni saiv ambapo nataka ku upload certified certificate...
  4. 3

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Habari watumiaji wa Xiaomi....Nina changamoto kidogo kwenye simu yangu ambayo ni Redmi 10C ilitumbukia ziwani ikanasa kwenye mapango ya mawe na ilikaa Kwa masaa sita kwenye maji sasa baada ya kuitoa kesho yake nikapeleka Kwa fundi alikausha maji na alifanikiwa kuiwasha lakini ilikaa kama nusu...
  5. 3

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Habari watumiaji wa Xiaomi....Nina changamoto kidogo kwenye simu yangu ambayo ni Redmi 10C ilitumbukia ziwani ikanasa kwenye mapango ya mawe na ilikaa Kwa masaa sita kwenye maji sasa baada ya kuitoa kesho yake nikapeleka Kwa fundi alikausha maji na alifanikiwa kuiwasha lakini ilikaa kama nusu...
  6. 3

    Janga la VVU lakatisha ndoto zetu

    Hakuna kitu kinaniumizaga kichwa Kama Ku counsel discordant couple pole Sana mkuu
  7. 3

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Daaah noma sana
  8. 3

    Nimfuate au nikomae tu?

    Naam mkuu hujambo mimi naona temana naye dalili ya mvua ni mawingu before kaa utulie then ufanye quick asessment ukiona kwenye planning zako yupo out of stock cansel then plan well hawa kunguru hawatabiriki ili chuja kwanza
Back
Top Bottom