Wazoefu wa ajira portal naombeni msaada. kipindi cha nyuma nilifunguaga account na kwenye academic qualifications nika upload vyeti ambavyo sio certified na wakili. Nilifanya hivyo mara mbili na vyote vinaonekana kwenye mfumo. Changamoto ni saiv ambapo nataka ku upload certified certificate...
Habari watumiaji wa Xiaomi....Nina changamoto kidogo kwenye simu yangu ambayo ni Redmi 10C ilitumbukia ziwani ikanasa kwenye mapango ya mawe na ilikaa Kwa masaa sita kwenye maji sasa baada ya kuitoa kesho yake nikapeleka Kwa fundi alikausha maji na alifanikiwa kuiwasha lakini ilikaa kama nusu...
Habari watumiaji wa Xiaomi....Nina changamoto kidogo kwenye simu yangu ambayo ni Redmi 10C ilitumbukia ziwani ikanasa kwenye mapango ya mawe na ilikaa Kwa masaa sita kwenye maji sasa baada ya kuitoa kesho yake nikapeleka Kwa fundi alikausha maji na alifanikiwa kuiwasha lakini ilikaa kama nusu...
Naam mkuu hujambo mimi naona temana naye dalili ya mvua ni mawingu before kaa utulie then ufanye quick asessment ukiona kwenye planning zako yupo out of stock cansel then plan well hawa kunguru hawatabiriki ili chuja kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.