Recent content by 3lly da prophet

  1. 3

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

    MUNGU ni mwema na kila la kheri kwako na madaktari wote watakaoshiriki upasuaji huo.
  2. 3

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    saiv wananiletea notification ya "Error: you can not edit academic qualifications" na hakuna changes yoyote
  3. 3

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Wazoefu wa ajira portal naombeni msaada. kipindi cha nyuma nilifunguaga account na kwenye academic qualifications nika upload vyeti ambavyo sio certified na wakili. Nilifanya hivyo mara mbili na vyote vinaonekana kwenye mfumo. Changamoto ni saiv ambapo nataka ku upload certified certificate...
  4. 3

    JamiiForums Tanzania Naweza kutumia king'amuzi bila kulipia?

    hayo mambo hayapo mkuu
  5. 3

    JamiiForums Tanzania Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Habari watumiaji wa Xiaomi....Nina changamoto kidogo kwenye simu yangu ambayo ni Redmi 10C ilitumbukia ziwani ikanasa kwenye mapango ya mawe na ilikaa Kwa masaa sita kwenye maji sasa baada ya kuitoa kesho yake nikapeleka Kwa fundi alikausha maji na alifanikiwa kuiwasha lakini ilikaa kama nusu...
  6. 3

    JamiiForums Tanzania Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Habari watumiaji wa Xiaomi....Nina changamoto kidogo kwenye simu yangu ambayo ni Redmi 10C ilitumbukia ziwani ikanasa kwenye mapango ya mawe na ilikaa Kwa masaa sita kwenye maji sasa baada ya kuitoa kesho yake nikapeleka Kwa fundi alikausha maji na alifanikiwa kuiwasha lakini ilikaa kama nusu...
  7. 3

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Janga la VVU lakatisha ndoto zetu

    Hakuna kitu kinaniumizaga kichwa Kama Ku counsel discordant couple pole Sana mkuu
  8. 3

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Daaah noma sana
  9. 3

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimfuate au nikomae tu?

    Naam mkuu hujambo mimi naona temana naye dalili ya mvua ni mawingu before kaa utulie then ufanye quick asessment ukiona kwenye planning zako yupo out of stock cansel then plan well hawa kunguru hawatabiriki ili chuja kwanza
  10. 3

    JamiiForums Tanzania Kwaya kumi bora kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

    MTAKATIFU SECILIA ARUSHA
Back
Top Bottom