Recent content by 3lly da prophet

  1. 3

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    Hakuna kupokea rushwa mkuu
  2. 3

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😂😂
  3. 3

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    23:40hrs
  4. 3

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ninahitaji damu kwa ajili ya mgonjwa, wapi naweza pata kwa kununua?

    Damu haiuzwi mkuu... Cha msingi andaa watu wa kufanya replacement ya units atakazopewa mgonjwa wako. Hospital Ina wajibu wa kukutafutia damu kwa ajili ya mgonjwa wako nawe pia una wajibu wa kutafuta watu wa kufanya replacement na kwa kawaida unit Moja ya damu salama inahitaji replacement kuanzia...
  5. 3

    JamiiForums Tanzania Godfrey Polepole: Ndani ya siku 4 nitaweka wazi ufisadi wa ndege ya Rais

    Let's keep waiting
  6. 3

    JamiiForums Tanzania Kwa mambo yanavyoendelea, napata mashaka na kifo cha Hayati Magufuli

    Kuna haja ya haya mambo kufanyiwa uchunguzi lakini sasa ni nani wa kufanya au kuamuru ufanyike uchunguzi??
  7. 3

    JamiiForums Tanzania Full Time: Brazil 1-1 Morocco || 13.06.2026 || World CUP 2026 || Leo Africa tunasimama na Brazil

    Hii mbungi si yakukosa kabisa💥💥
  8. 3

    JamiiForums Tanzania Kwanini sekta ya Bodaboda isifutwe? Ni kimbilio la waliofeli, wanajazana mochwari na wazalishaji wa wajane mtaani

    Waache wafanye mkuu we baki na kazi yako ambayo ni salama
  9. 3

    JamiiForums Tanzania Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

    MUNGU ni mwema na kila la kheri kwako na madaktari wote watakaoshiriki upasuaji huo.
  10. 3

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    saiv wananiletea notification ya "Error: you can not edit academic qualifications" na hakuna changes yoyote
  11. 3

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Wazoefu wa ajira portal naombeni msaada. kipindi cha nyuma nilifunguaga account na kwenye academic qualifications nika upload vyeti ambavyo sio certified na wakili. Nilifanya hivyo mara mbili na vyote vinaonekana kwenye mfumo. Changamoto ni saiv ambapo nataka ku upload certified certificate...
Back
Top Bottom