Sasa inakuwaje kiongozi wa serikali(system) unakubali kula rushwa kwa ajili ya kuuza nchi? Kama ni hivo idara ya usalama Tanzania isukwe upya,haiwezekani watu wachache wauze nchi! Na mtu kama ni kiongozi wa serikali kama anaona hajaridhika na kuishi Tanzania aitwe ahojiwe kwa ushahidi,kisha...
Kweli kabisa, ila haya mambo yanafikirisha sana,kwamba rais hajui kabisa kua Dar ni mji unakua kwa kasi na mahitaji ya maji ni Mengi? Dar ina shughuli nyingi sana kuliko mkoa wowote tz,na shughuli hizo zote zinahitaji maji na zinaongezeka kila siku.
Tanzania tunapoteza maji mengi sana wakati wa...
Hivi halmashauri ya Manispaa ya UBUNGO ina sababu gani ya kushindwa kupanga mji wa kisasa wa GOBA?
Hii nchi ina watumishi wa ajabu, nafikiri ofisi ya ardhi Ubungo hawajui hata kinachoendelea Goba.
Hapo kuna vitu vingi,
Sheli nyingi zinauza mafuta machafu,kuna sheli nilikua naweka mafuta then taa ya check engine inawaka,ikabidi niachane na hicho kituo na ninawaambia na watu wengine wasiende hapo,just imagine ni kituo chako huoni umepoteza wateja wengi?
Ushauli wangu ni uweke box la...
Siyo matapeli kabisa,mimi nililipa hiyo hela kwa bahati mbaya,nikaomba wairudishe,wakairudisha ndani ya saa 24 tu,makazi yao makuu ni california,
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.