Recent content by 365

  1. 3

    PreGE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

    Anaitwa JOSEPH KASHEKU(jina rasmi),msukuma ni jina la utani tu
  2. 3

    Hongera CDF umeona mbali. Leo wanavyosumbua Congo Mashariki, Kesho watasumbua Tanzania

    Sasa inakuwaje kiongozi wa serikali(system) unakubali kula rushwa kwa ajili ya kuuza nchi? Kama ni hivo idara ya usalama Tanzania isukwe upya,haiwezekani watu wachache wauze nchi! Na mtu kama ni kiongozi wa serikali kama anaona hajaridhika na kuishi Tanzania aitwe ahojiwe kwa ushahidi,kisha...
  3. 3

    Biashara ya Restaurant/ Mgahawa Kahama

    Hii biashara ya mgahawa nadhani uifanyie hapa hapa dar, kuna maeneo kama GOBA ina wateja ila haina migahawa kabisaa
  4. 3

    Barua ya wazi kwa Waziri wa Maji na Mkurugenzi wa DAWASA

    Kweli kabisa, ila haya mambo yanafikirisha sana,kwamba rais hajui kabisa kua Dar ni mji unakua kwa kasi na mahitaji ya maji ni Mengi? Dar ina shughuli nyingi sana kuliko mkoa wowote tz,na shughuli hizo zote zinahitaji maji na zinaongezeka kila siku. Tanzania tunapoteza maji mengi sana wakati wa...
  5. 3

    Mamlaka husika inashindwa vipi kupanga mji wa kisasa Goba?

    Kiufupi idara ya ardhi ubungo ifumuliwe bila kusahau mkurugenzi
  6. 3

    Mamlaka husika inashindwa vipi kupanga mji wa kisasa Goba?

    Rais aangalie hili jambo...Goba watu wanajenga kwa kasi sana tena majengo ya kisasa
  7. 3

    Mamlaka husika inashindwa vipi kupanga mji wa kisasa Goba?

    Hivi halmashauri ya Manispaa ya UBUNGO ina sababu gani ya kushindwa kupanga mji wa kisasa wa GOBA? Hii nchi ina watumishi wa ajabu, nafikiri ofisi ya ardhi Ubungo hawajui hata kinachoendelea Goba.
  8. 3

    Dola ya Marekani kutumika rasmi nchini Zimbabwe baada ya mfumuko wa bei kuwa mkubwa

    Ni kweli,vitu hapa ni very expensive sana, daladala kituo kimoja tu ni dola 1,(2300tshs). Taxi short distance 10usd(23000tshs)
  9. 3

    Ninamiliki kituo Cha mafuta, mshindani wangu anauza Sana kuliko mimi. Nini nikifanye kuongeza mauzo na wateja

    Hapo kuna vitu vingi, Sheli nyingi zinauza mafuta machafu,kuna sheli nilikua naweka mafuta then taa ya check engine inawaka,ikabidi niachane na hicho kituo na ninawaambia na watu wengine wasiende hapo,just imagine ni kituo chako huoni umepoteza wateja wengi? Ushauli wangu ni uweke box la...
  10. 3

    Maduka ya wahindi yachomwa Kinshasa

    Na vile nawafahamu wakongo lazima walete vurugu za hatari
  11. 3

    Natafuta vipimo vya asali

    Kuna jamaa anauza
  12. 3

    Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    Uko wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. 3

    App ya kupokea Wageni toka Nje (Couchsurfing) : Hivi ndivyo ninavyopokea wageni na kutengeneza pesa

    Siyo matapeli kabisa,mimi nililipa hiyo hela kwa bahati mbaya,nikaomba wairudishe,wakairudisha ndani ya saa 24 tu,makazi yao makuu ni california, Sent using Jamii Forums mobile app
  14. 3

    Msaada naomba kujua jambo hili kuhusu kubadili Dola

    Uko dar? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. 3

    Ushauri: Nina Milioni 700, nizifanyie nini?

    Mimi nakushauri uendeleze biashara aliyokua anafanya mzazi wako, Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom