Mjomba fuatilia huenda kuna mkwanja wako mzuri, sina uhakika lakini kama kampuni iliuzwa haki zako ziko pale pale, na biashara ya hisa, partner wako mkubwa huwa ni TIME,yani kuvumilia owa muda mrefu kila fluctuation zinapotokea unaji adjust kuuza na kununua.Mkuu kuna kipindi cha mzee mkapa mwanzoni kabisa kama sikosei kuliibuka kampumi moja wakaita NICO. Hii kampuni ilianzishwa wakaipromot kama ni ya serikali.
Kipindi hicho mzee ruksa ndio amestaafu. Nakumbuka siku anaenda kununua hisa kwenye hiyo kampuni wakaipa promo ile kununua hisa kwa mzee. Kweli mzee alionekana pale ananunua hisa kama za milioni 10 kama sikosei. Nakumbuka alimnunulia na mtoto wake. Nikahamasika sana mimi na jamaa yangu.
Tukaingia bank NMB,tulanunua hisa za laki 2,2 kila mmoja. Kuanzia hapo sijawahi kupewa gawio wala kujulishwa kinachoendelea. Nifanyeje ili kupata haki yangu. Kuanzia kipindi hicho mpaka sasa wanipe nilichopanda ma kuvuna
Dah nami natamani nipate hii elimu, wajuvi tuelimisheni tafadhali.Tupe elimu kidogo
Kwa nn ofa baadhi zimekataliwa?
Jumla ya fedha hizo apo ni million au??? View attachment 1449190
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka link tuoneHaya hisa waweza nunua kwa simu sasa kazi kwenu
Nenda dse.co.tzWeka link tuone
Unahitaji kuuza kwanza za voda kisha ununue za TBL..unaweza kumtebelea dalali wa soko la hisa au jisajili katika mfumo wa DSE hisa kiganjani kufanya miamalla hiiNahitaji kuuza au kuswap hisa zangu za Voda na TBL. Is there anyone in here who can advise nifanyeje?!