Dah! Ila ukiconect dot kati ya Shetan na ushawishi wake kwa Eva kimazingira na mtoto Abel na jina la kizazi cha nyoka kuna jambo fikilishi ndani yake absolutely.
Huyu ni mtu waliyedai ni miongoni mwa watuhumiwa na kwa uhalisia huyu anatoa direction na tarifa za hukaki anahtaji ungalizi makini ili azidi kutoa habari zaidi tukubali huu ni uzembe rejea tukio lingine la mwanza ambapo mtuhumiwa anawaelekeza askali alafu akawatoroka ,tatizo ni weledi ndo mdogo.
Naam tuko pamoja.
Ila kinacho nishangaza ni hiki kilichoteke inadhihilisha usiriasi haupo kwenye hili swala, pia watahakikishaje usalama wa raia atakayetoa taarifa?
Mkuu swala ni kivipi mtuhumiwa wa inshu nzito iliyo garimu maisha ya watu waka muacha bila bingu na minyororo ya migu au alikuwa bubu so anatoa maelezo kwa ishara za mikono?
Mkuu sio plastic ila ni matokeo ya GM Food (genetic modified food )hii na sayansi inahusu kupandikiza DNA katika mimea hata wanyama kwa malengo ya kibiashara au kucontrol magonjwa.
Utashi wa kufatilia mambo wabongo huwa hawana ila kwa hulisia hakuna digestion ya plastic kwa mnyama yeyote na kuhusu clip mbona ni ya zaman sana nimeiona 2016 so leo hii ndo wanaiona kwnye magroup upuuzi mtupu.
Tuache kupepesa watu wanao tekwa kwa kiwango kikikubwa utakuta wanatoa kauli au misimamo inayokinzana na serikali au tarifara zinazo wagusa viongoz serikalini. Rejea waliotekwa kama Ulimboka, ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.