Ni halali kushare nguo na mpenzi wako?

Ni halali kushare nguo na mpenzi wako?

Mswaki hapana, hilo analijua kabisa.. Tisheti, kaptula, soksi na boksa ni ruksa yeye kutumia..
 
Siku moja tulichangia mswaki mim na G[emoji14][emoji14][emoji14]
Mapenzi jamani hata kinyaa hakunaa
 
Wangu akivaaga boxer zangu najua ananipa ujumbe flan na pia akivaa t-shirt pia najua huo ni ujumbe mwingine!
 
Ujinga ni kujitoa ufaham kukiss mnakis direct mouth contact (denda) alaf mswaki unasema haiwezekani maajabu ya dunia.
 
Napenda shati au fulana yangu akiivaa mwanamke tukiwa ndani nakua naenjoy the view
 
Napenda mwanamke avae T-shirt yangu iwe inamfunika mapaja kidogo na huko chini asivae kitu ingine (romantic sana kwangu)
 
Sasa kama ke ana msambwanda si ataniharibia boksa zangu mr slim mm??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom