ha! kwani naona ajabu yeye kukojoa??
utaomba dunia ipasuke uzame ndani siku ukimuomba halafu akakataa
Wacha mawazo machafu
Kama unataka kujidalilisha , jaribu kumuomba halafu akikataa u
Umesahau hadithi za Mpiga filimbi wa Harmelin, Mfalme Huihui katika nchi ya wagagagigikoko, Bulicheka na Lizabeta, Mfalme Majinun, Roza na Paulo ana mkono michafu, KALUMEKENGE ALIYEKATAA KWENDA SHULE!!
Yaani ilikuwa raha tupu
Kuoa raha sana!!
> Unapata mtu wa karibu nawe unampenda na anakupenda (From the deepest part of your soul) anakujali unamjali, unamkumbatia anakukumbatia, unamfariji anakufariji na juu ya yote mnaingia kwenye deep intimacy companionship.
> Baadaye mwaweza kujaaliwa watoto wazuri. Mnawaangalia...
Last month (minus) One week = 3 weeks
3 weeks (minus) Tuesday (is approximatelly = 1 week) = 2 weeks
Therefore 2 weeks = 7 days (times) 2 = 14 days
14 days umezini mara 8 = SIKU 6 TU NDO HUKUZINI !!!!!!
Labda ibilisi kaweka maskani ya kudumu siyo mpitaji tu
hiyo ndo habari ya mujini
na hao...
Utashangaa pale hao wenye rangi nyekundu wakawa wanajitambua na wanayo mawazo yao kwenye kibox cha kupigiakura halafu wakampigia usiyemtaka.
Afadhali ujiandae kisaikolojia AMA MGOMBEA WAKO AKIPATA AU AKIKOSA
Baada ya tarehe 25 Oct 2015, kuna mgombea wa urais atawashangaa wapiga kura wa Tanzania pale watakapomshangaa ilhari kila aendapo anapata mapokezi makubwa ya kumsanifu!!!
KUMBUKA ; Nafasi za ma RC na ma DC zipo kwa mujibu wa sheria na kama Rais ataapa kuilinda na kuiheshimu Katiba na sheria zake analazimika kuwateua. Siyo utashi binafsi wa Rais.
Akikaidi maanake atakuwa akikiuka Katiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.