Why should I get married?

Why should I get married?

Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.

Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.

1445112586583.jpg
 
Ndoa taamu bhanaa tunasonga mbele tuu sasa 12yrs
 
Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.

Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.

Haha wewe😮😮.... hapa naota ngoja nirudi kulala
 
Ntaolewa sababu nampenda hio ndio sababu kuu
Mengine kama kuwa mmiliki halali wa mboo etc etc ni minor lakini muhimu
 
Kuoa raha sana!!
> Unapata mtu wa karibu nawe unampenda na anakupenda (From the deepest part of your soul) anakujali unamjali, unamkumbatia anakukumbatia, unamfariji anakufariji na juu ya yote mnaingia kwenye deep intimacy companionship.
> Baadaye mwaweza kujaaliwa watoto wazuri. Mnawaangalia na kuwatunza kwa upendo. Kwa pamoja mnaleta viumbe/binadamu (watoto) kwa mfano wenu wakiwa wamelelewa na baba na mama. Mna enjoy kuwaona watoto wakicheza na kurukaruka pamoja na vituko vyao.
> Baadaye mkizeeka mtakuwa kwa pamoja mmewajibika ipasavyo. Hivyo mnachangia UUMBAJI

RAHA NA FURAHA YA MAISHA UWE NA NDOA YENYE AMANI NA UPENDO DAIMA
 
Nitaolewa nikijisikia Niko tayari nimejiandaa kiakili kimwili na kiroho pia atakayekua size yangu na kukidhi vigezo kwa sasa sina hamu kabisa na sijisikii
 
Ntaolewa sababu nampenda hio ndio sababu kuu
Mengine kama kuwa mmiliki halali wa mboo etc etc ni minor lakini muhimu
Ukinogewa utaomba umiliki wa hiyo Joystick haraka sana...labda bado hujampata mnogeshaji
 
Nitaolewa nikijisikia Niko tayari nimejiandaa kiakili kimwili na kiroho pia atakayekua size yangu na kukidhi vigezo kwa sasa sina hamu kabisa na sijisikii
Marriage ni kama crush tu...You meet a person,with all the necessary ingredients(as per your standards),by accident in most cases..and above all you find a striking balance in everything between you(you and him)...with the perfect chemistry!Mnajikuta tu hamchokani,everyone enjoy the other person company,always when you are together,you feel out-of-this world literary-very happy,you find that he shares the same hobbies,same world views the same life philosophy... and then BANG!mnajikuta tu mipango ya ndoa inaanza!
 
Back
Top Bottom