Yamenikuta, vituko vya mke bosi, nifanyeje na kazi naipenda?

Mkuu uache kazi kivipi na wewe unaihitaji? Just talk to her! She sounds like she needs attention more than anything. So you can say something like "Mama I'll be lying if I say sikutamani, lakini ki ukweli ndoa yangu bado ni changa, na isitoshe kazi hii ndiyo tegemeo langu na familia. Forgive me but mimi singependa wala sitataka kukuvunjia heshima wewe, bosi ama mke wangu."

U' ve given him the best answer i've ever expect. U rock.
 
Mimi ni kijana wa makamo. Nimeajiriwa na bosi wangu ambaye ni waziri katika wizara fulani hapa Tanzania kwa kazi ya kuendesha magari ya nyumbani likiwepo lile la mke wa bosi ili kumpeleka atakaponiamuru ikiwa ni kwenda na kurudi ofisini, salon, kutembelea jamaa zake na kwingineko.

Huyu mama namheshimu kama bosi wangu, ndiye aliyependekeza jina langu kwa mumewe baada ya kukutana katika kikao cha harusi fulani pale Msimbazi Centre.

Ni mzuri wa sura na umbo, mkarimu na mcheshi mama wa watoto wanne. Jambo linalonitatiza ni tabia mpya za huyu bosi (mama) tutokapo ataniuliza "unanionaje nimependeza ee?

Siku nyingine hunipa zawadi ndogondogo, tunaporudi nyumbani usiku ashikwapo na haja huniambia "naomba nikakojoee" mara atachutama na kukojoa mbele yangu (mwenzenu naugulia moyoni) ananiuliza "mbona unakua mwoga"?

Mwili wangu unachemka akili zinashuka mara nakumbuka bosi amesafiri kikazi, namkumbuka mke wangu narudi nyuma. Maisha yamenibana, kazi naipenda. Niache kazi nipate kazi kuitafuta kazi. Nampenda mke wangu.

Una nyota ya ndizi mshale mkuu,tek care!
 
Hamna tatizo lolote hapo,
kama kusingekuwa na majaribu basi maana ya wokovu isingekuepo,
Wewe unadhani angejuaje kuwa wewe ni MWAMINIFU KWA MKEO KAMA USINGEONESHA MSIMAMO,
saa zingine majaribu huja ili tuoneshe how strong we are,
kwa sababu hiyo itakuwa challenge popote utakapokuwa.
so komaa na kazi, baki mvumilivu.
Maneno kama hayo ni ya kawaida kabisa kuambiwa na mwanamke hususani uliyezoeana naye,
wanawake wanapenda kuwa free kwa watu wao wa karibu(simaanishi mpenzi), kwa nini akufiche???
 
Mimi ni kijana wa makamo. Nimeajiriwa na bosi wangu ambaye ni waziri katika wizara fulani hapa Tanzania kwa kazi ya kuendesha magari ya nyumbani likiwepo lile la mke wa bosi ili kumpeleka atakaponiamuru ikiwa ni kwenda na kurudi ofisini, salon, kutembelea jamaa zake na kwingineko.

Huyu mama namheshimu kama bosi wangu, ndiye aliyependekeza jina langu kwa mumewe baada ya kukutana katika kikao cha harusi fulani pale Msimbazi Centre.

Ni mzuri wa sura na umbo, mkarimu na mcheshi mama wa watoto wanne. Jambo linalonitatiza ni tabia mpya za huyu bosi (mama) tutokapo ataniuliza "unanionaje nimependeza ee?

Siku nyingine hunipa zawadi ndogondogo, tunaporudi nyumbani usiku ashikwapo na haja huniambia "naomba nikakojoee" mara atachutama na kukojoa mbele yangu (mwenzenu naugulia moyoni) ananiuliza "mbona unakua mwoga"?

Mwili wangu unachemka akili zinashuka mara nakumbuka bosi amesafiri kikazi, namkumbuka mke wangu narudi nyuma. Maisha yamenibana, kazi naipenda. Niache kazi nipate kazi kuitafuta kazi. Nampenda mke wangu.

Acha kumtamani huyo mama, hata kama anakufanyia kitu gani usiiweke akili yako kuwa anakutaka maana kama angekuwa anakutana kwa uwezo alionao angeshakwambia. Potezea tu ni akili yako ndio inakuonesha kama anakutaka kumbe wala. Wewe piga kazi yako mengine yote potezea tu.

Kuna kitu nimekumbuka kuna mzungu mmoja alikuwa jirani yetu alikuwa anaogelea kwenye swiming pool nyumbani kwache uch.i wa nyama na wafanyakazi wa kike wapo kwake wanamwangalia tu wameshamzoea sasa ingekuwa wewe ni ke na mwanaume anaogelea uchi mbele yako si ungesema anakutaka. Stuka amka fanya kazi yako acha tamaa
 
Mimi ni kijana wa makamo. Nimeajiriwa na bosi wangu ambaye ni waziri katika wizara fulani hapa Tanzania kwa kazi ya kuendesha magari ya nyumbani likiwepo lile la mke wa bosi ili kumpeleka atakaponiamuru ikiwa ni kwenda na kurudi ofisini, salon, kutembelea jamaa zake na kwingineko.

Huyu mama namheshimu kama bosi wangu, ndiye aliyependekeza jina langu kwa mumewe baada ya kukutana katika kikao cha harusi fulani pale Msimbazi Centre.

Ni mzuri wa sura na umbo, mkarimu na mcheshi mama wa watoto wanne. Jambo linalonitatiza ni tabia mpya za huyu bosi (mama) tutokapo ataniuliza "unanionaje nimependeza ee?

Siku nyingine hunipa zawadi ndogondogo, tunaporudi nyumbani usiku ashikwapo na haja huniambia "naomba nikakojoee" mara atachutama na kukojoa mbele yangu (mwenzenu naugulia moyoni) ananiuliza "mbona unakua mwoga"?

Mwili wangu unachemka akili zinashuka mara nakumbuka bosi amesafiri kikazi, namkumbuka mke wangu narudi nyuma. Maisha yamenibana, kazi naipenda. Niache kazi nipate kazi kuitafuta kazi. Nampenda mke wangu.

ha! kwani naona ajabu yeye kukojoa??
utaomba dunia ipasuke uzame ndani siku ukimuomba halafu akakataa
Wacha mawazo machafu

Kama unataka kujidalilisha , jaribu kumuomba halafu akikataa u
 
Nakushauri huyo mama usimkubalie ombi lake. Wewe unyesha msimamo wako huku pia ukionyesha heshima kwao( mume na mke)

Pili, wakati anajitongozesha kwako mrekodi kwenye simu yako pasipo yeye. kujua ili ikitokea siku amekuchongea kwa mumewe kuwa unamtaka kinguvu , hizo video ulizomrekodi ndio zitakazokuokoa. Na huyo mume atakuamini na hata kukutafutia kazi sehemu nyingine ataweza.
ushauri mzuri sana,,,chameleon chukua na ufanyie kazi
 
Are you Capt Nemo?You sound like him....

Hello nifah, I wonder if the guy took time to answer your question but nevertheless I am here so let it be known that its not Capt Nemo....Know what precious? Once a captain always a Captain..so whenever you see a Nemo without a Caption then it ain't me by a long shot.

Anyway..the guy sounds good..credit to the "Nemo" nomenclature...as the saying goes .."give a dog a bad name and kill it" so Nemo goes with intelligence.

Stay blessed nifah
 
Last edited by a moderator:
Sometimes you see things in a certain colour because you are wearing spectacles of that colour...you sure you are not letting your imaginations run wild?...kama mjomba mmoja alivyosema...jaribu kutupia neno akikuchomolea ndo utajua ninachomaanisha
 
Back
Top Bottom