Wana jf niajeee hv naomba kuchukua muda wako kidogo kwann muziki wa hip hop haupewi kipaumbele bongo hasa kwa wasanii underground alafu unakuta ukiforce kupata airtime ya ngoma zako unakuta wanakushauri utoke kwenye uhalisia
Ni kwann hip hop haichukuliwi umakin km miziki mingine
ahsante mkuu lkn nikurekebishe kidogo si kwamba sina ndoto au sikua na ndoto nlikua nazo ila zimefeli sina budi kutafta plan B mzee au ulitaka nikae kizembe
Habari za muda huu ndugu zangu me mgeni kwenye jamvi na kijana mdogo nmemaliza kidato cha 4 mwaka 2015.
Sasa je nsomee kozi gani itayofit alama zangu D 3 za Kiswahili,Biology,Civics masomo mengine yote F alafu nilisomea arts.
Msaada wana jamvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.