MWAMBIE asijaribu kutoa hiyo mimba, ASIJARIBU kutoa hiyo mimba. Ninarudia tena. Akitoa kuna uwezekano mkubwa akapata matatizo ambayo ni makubwa kuliko kama wangeilea mimba.
Huenda huyo aliyepo tumboni ndiye atakuja kuwa mtu muhimu sana kwa hao wazazi.
Kuhusu kubemenda: ni wangapi wanazaa...
Fundi wa Dodoma kwa bei ya chini atajenga kwa laki tano kama ni frem pungufu ya tatu
Materials yote msingi mpaka kuta atatumia si chini ya milioni nne. Itaongezeka akitumia tofali za blocks. Kumbuka kuna rinta, milango na madirisha aroooo
Kupaua tu peke yake ni zaidi ya milioni 2
Hela haitoshi
Ningemshauri ajenge fremu za kupangisha ambapo kwa upande wa nyuma aweke makazi yake. Hapohapo anaishi na hapohapo ana fremu.
Ila sasa hiyo hela haitamfikisha hata kupaua. Aongeze dau
Mimi nikitaka kufufua gari yangu nitazingatia haya:
Kumuita fundi acheki mifumo ambayo ni muhimu zaidi kuibadilisha.
Kisha spares zake agiza wewe mwenyewe straight from Japan kisha waite mafundi.
Kujibu swali lako, wasiliana na jamaa wa pale Kamata, Dar kuna garage fulani jina imenitoka ila...
Habari mkuu? Ninakushauri cha kwanza kabisa mjuze mumeo kuwa umejua anachepuka na umsihi aache mara hii. Usiende kugombana na huyo mchepuko wake. Furahia ndoa!!!
Mkuu, nimesomea social media management. Unapopost posts zaidi ya 5 kwa siku basi page yako itapoteza wateja. Ni sawa na wanaopost statuses 50 WhatsApp tunaona tuwamute
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.