Mkewe amepata mimba wakati wana mtoto wa miezi 3

BioPsychologist

JF-Expert Member
Aug 23, 2017
724
1,014
Habari wataalamu, kuna mazingira haya katika jamii yangu yamewakuta wanandoa fulani na kwa kuwa jamaa ni rafiki yangu kachanganyikiwa sana hajui aanzie wapi na kumiomba nimsaidie ushauri.

Bahati mbaya mimi siko kwenye kada hiyoo, japo nimempa ushauri kisaikolojia na amepata nafuu japo tatizo lake halijapatiwa utatuzi.

Anadai ana siku anaona dalili za mkewe zikionyesha ana mimba na kuwa walifanya siku moja jamaa akiwa na ugwadu mkali baada ya kuvumilia muda mrefu sana.

Ameongeza kuwa alimwaga nje cha kushangaza wamepima mkewe ana mimba na mimba alifanyiwa upasuaji.

Msaada unahitajika ni, mosi,, afahamu madhara kwa mtoto wao. Pili,, anawezaje kusambaratisha huo ujauzito ni njia gani nzuri zaidi.

Zaidi anaomba radhi kwa kuwa anaamini wengine watasema kwa nini hakutumia condom au kwa nini asingetoka na demu mwingine.

Ila tu hana tabia ya kutoka nje ya ndoa yake anaheshimu sana pia genye zilimzidia usiku wa manane hakuwa anatarajia hivo hakujiandaa na ndom then mkewe akampa yakatokea.

Msaada wenu wataalamu tumnusuru huyu ndugu.

Nawakilisha pia nawasilisha.
 
Ukiwa unamkaza demu,kuna ule ute wakwanza unaotoka kwenye mashine..ule ute huwa pia unabeba mbegu naivo kutungisha mimba ni 100%.

Unakuja kukojoa nje, lakini tayari umeshapiga bao.

Inamaana hawakushauriwa kuhusu uzazi wa mpango? (najua walishauriwa ila kupuuza nahaya ndo matokeo).

Chakufanya, waende hosp, MVA itawafaaa kama hawahitaji hiyo mimba.
 
Habari wataalamu, kuna mazingira haya katika jamii yangu yamewakuta wanandoa fulani na kwa kuwa jamaa ni rafiki yangu kachanganyikiwa sana hajui aanzie wapi na kumiomba nimsaidie ushauri...
Huyo mkatili tu, hamu gani hizo za kushindwa kuvumilia. Anajua mkewe amejifungua kwa mkasi, halafu ndani ya miezi mitatu anampanda! Tena na kovu jipya la operation!!

Simlaumu ila namsikitikia kwa hulka ya kipuuzi aliyofanya. Mama huyo mkewe naye mjinga asiyejihurumia. Anakubali kupandikiza muhogo anadhani utashindwa kuchipuza?
 
MWAMBIE asijaribu kutoa hiyo mimba, ASIJARIBU kutoa hiyo mimba. Ninarudia tena. Akitoa kuna uwezekano mkubwa akapata matatizo ambayo ni makubwa kuliko kama wangeilea mimba.

Huenda huyo aliyepo tumboni ndiye atakuja kuwa mtu muhimu sana kwa hao wazazi.

Kuhusu kubemenda: ni wangapi wanazaa watoto na mama akafariki mtoto akalelewa na ndugu/wazazi tangu akiwa na wiki kadhaa tu tangu azaliwe. Nao 'waashumu' kuwa mama hayupo tuone kama mtoto hatokua vizuri (sijui kama umenielewa hii point).

Huenda kutoa mimba ikapelekea kifo. Usimpe ushauri wa kutoa mimba. Nimekukataza.
 
Huyo mkatili tu, hamu gani hizo za kushindwa kuvumilia. Anajua mkewe amejifungua kwa mkasi, halafu ndani ya miezi mitatu anampanda!!! Tena na kovu jipya la operation!! Simlaumu ila namsikitikia kwa hulka ya kipuuzi aliyofanya. Mama huyo mkewe naye mjinga asiyejihurumia. Anakubali kupandikiza muhogo anadhani utashindwa kuchipuza?
Miezi mitatu wanafanya vizuri tu, cha muhimu kuzingatia zile style wanazokaa
 
Kidonda cha miezi3 ndani ni kama kashonwa juzi tu hapo....hujui kama huwa kuna matatizo hupelekea mama kutolewa mimba ili kusave maisha yake?
Na mimba yenyewe anasema akihesabu tarehe ina week 2 tu kuna njia gan na nyepesi isiyo complicated sana wanaweza tumia
 
MWAMBIE asijaribu kutoa hiyo mimba, ASIJARIBU kutoa hiyo mimba. Ninarudia tena. Akitoa kuna uwezekano mkubwa akapata matatizo ambayo ni makubwa kuliko kama wangeilea mimba...
Navojuwa mimi mimba ya week 2 kwa mahesabu yao inakuwa bado damu kabisa au sio wataalamu ?? Means pia yawezekana akapata njia nyepesi na salama ku release hizo damu ambazo hazijakuwa kiumbe and it is not complicated in such....!! Kama ambae mimba ina miezi kadhaa. Au hii imekaaje !
 
Huyo mkatili tu. Nyege gani hizo za kushindwa kuvumilia. Anajua mkewe amejifungua kwa mkasi, halafu ndani ya miezi mitatu anampanda!!! Tena na kovu jipya la operation!! Simlaumu ila namsikitikia kwa hulka ya kipuuzi aliyofanya. Mama huyo mkewe naye mjinga asiyejihurumia. Anakubali kupandikiza muhogo anadhani utashindwa kuchipuza?
Nina wasiwasi ikiwa na wewe ni professional, ......utamtreat vipi client wako kwa kuanza na matusi na kejeli?

Ethics ????????!!!!!!!!!!
 
Ukiwa unamkaza demu,kuna ule ute wakwanza unaotoka kwenye mashine..ule ute huwa pia unabeba mbegu naivo kutungisha mimba ni 100%

Unakuja kukojoa nje ,lkn tayari umeshapiga bao....

Uzazi wa mpango huwa wanashauri wapi?
Binafsi sijawahi kuupata.

Jamaa aende hospital akaongee na Wataalam wa hivyo vitu, angekuwa amejifungua kawaida. Ningekushauri muilee hiyo mimba
 
Huyo mkatili tu. Nyege gani hizo za kushindwa kuvumilia. Anajua mkewe amejifungua kwa mkasi, halafu ndani ya miezi mitatu anampanda!!! Tena na kovu jipya la operation!! Simlaumu ila namsikitikia kwa hulka ya kipuuzi aliyofanya. Mama huyo mkewe naye mjinga asiyejihurumia. Anakubali kupandikiza muhogo anadhani utashindwa kuchipuza?

Kwani huwa wanaanza kusex baada ya muda gani?
 
Back
Top Bottom