Recent content by 21 JuLy

  1. 21 JuLy

    Gari zuri kati ya NISSAN X TRAIL na SUBARU FORESTER

    Natumia Nissan xtrail Hybrid 2019 haina shida yeyote mwaka 2 huu zaidi ya kufanya normal service sijawah kuchange hata spare
  2. 21 JuLy

    Je ratiba ya waajiriwa(wanawake) inawapa nafasi ya kutimiza majukumu yao ya ndoa? Je ratiba ipangiliwe vipi ili majukumu ya ndoa yatimizwe?

    Maisha ni kupanga, pia kupanga ni kuchagua Kwahiyo kazi kwako 1.kuna Mke/mwanamke Msaidizi 2. Kuna Mke/Mwanamke Mlezi Acha kutia huruma, as a man Fanya Decision.
  3. 21 JuLy

    Ukiambiwa uwataje marapa 3 ambao ni wakali wa michano kutoka kwenye list hii, utaenda na nani?

    Mtoa mada bado mziki ujaujua au unachanganya vitu, hao wasanii wote Wakali sana ila umeweka generation tofauti inatoa wakati mgumu kuwapanga kwa ukali. Mfano genaration ya Nas, Jay Z na Emen Then generation ya Wayne, 50 cent na Kanye Pia generation ya Kendr, Jay Cole na Drake Sasa hawa huwez...
  4. 21 JuLy

    Nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP?

    Haya mambo Kwenye utendaji ni tofauti, cha umuhimu Nchi kua salama. Unaweza kuta huyo IGP au CDF ni mtumishi wa TISS na aka report kwa utaratibu wao😂😂
  5. 21 JuLy

    Agiza nasi Nissan X-Trail (New Model)

    Hii sio new model while Kuna upgrade ya 2018 to 2022 then 2023 to update
  6. 21 JuLy

    USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Kabisa Tunafail wapi kusimami tuliyohamua, kulikua na haja gani ya kuingia gharama
  7. 21 JuLy

    USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Stand haitumiki kama ilivyokusudiwa, ungeenda hapo imepoa kabisa, hakuna business activities kabisa.
  8. 21 JuLy

    USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Hapana, matumizi yalikuja baada ya kuhamishwa stand ndio maana wazo la kwanza ilitakiwa iwe stand kubwa ya Mwendokasi badae ikapatikana hiyo business park. Sababu kubwa ilikua kupunguza msongamano katikati ya mji ambao now umejirudia shekilango tena bila mpangilio. Hakuna maisha bila utaribu...
  9. 21 JuLy

    USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Unachoongea hakiendani na uhalisia, iasue sio kupanda na kushukia. Urafiki na shekilango imegeuzwa stand kwa sasa. Umefika hayo maeneo hivi karibuni? Stand kubwa ya mbezi haikujenga kwa lengo la kupanda na kushuka tu, ndio maana pale kuna investment za kutosha na vile vile kupelekwa stand nje...
  10. 21 JuLy

    USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Mzee mji unaharibika, ushapita shekilango au Urafiki hivi karibuni. Swala la abiri ni utaratibu na mpangilio tu, watu watafata, thus why ujaona ndege na treni kwenye makazi ya watu, na abiria wanafata usafiri ulipo. Sasa sababu za msingi za kuhamisha stand ya mabus ubungo ilikua ni nini?
  11. 21 JuLy

    USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Mzee mji unaharibika, ushapita shekilango au Urafiki hivi karibuni. Swala la abiri ni utaratibu na mpangilio tu, watu watafata, thus why ujaona ndege na treni kwenye makazi ya watu, na abiria wanafata usafiri ulipo. Sasa sababu za msingi za kuhamisha stand ya mabus ubungo ilikua ni nini?
  12. 21 JuLy

    USHAURI KWA SERIKALI YA MKOA WA DAR ES SALAAM KUHUSU KUBADILISHA MATUMIZI KWA STAND YA MABUS MAGUFULI MBEZI.

    Baada ya Serikali kupitia pesa za walipa kodi kuweza kujenga stand kubwa ya mabus ya magufuli mbezi mwisho, na pia Serikali tumehamua kwa makusudi shughuli zote za mabus na abiria kuruhusu zifanyike Urafiki/shekilango, ifike hatua sasa tubadilishe matumizi ya Stand ya Bus na iwe Soko, eneo la...
  13. 21 JuLy

    Hii kwa wanaume, tujitahidi tusioe wapenzi wa watu

    Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua, kuna muda unafika kwa mwanaume unaona kabisa unaitaji kua na Mke ili kuanzisha Familia. Inafahamika kila mmoja ana vigezo vya mwanamke amtakayae na hua hazifanani kwa kila mmoja. Ila kuna hili Janga la kuoa wapenzi wa watu, unakuta mwanake anavigezo...
  14. 21 JuLy

    Ushauri Kwa Vijana kuhusu ujenzi

    Maisha ni kupanga, na kupanga ni kuchagua Hongera kwa hatua uliyofikia, nguvu inaitajika zaidi kuweza kumaliza. Kwa design ya nyumba ya kisasa hivyo, unaitaji 150 to 200M zaidi kuweza kumaliza. Kila la Kheri kwenye safari yako.
Back
Top Bottom