Recent content by 20acres

  1. 2

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mi huwa nabet live kuanzia dak 35 mpaka half time,then 75 mpaka 90..for sure hii kanuni imenitoa saaana hizi kodi na ela ya kula siwazi..
  2. 2

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau nimefanikiwa kutoa ila hizi akaunti tusiwe tunaacha hela nyingi.
  3. 2

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hiyo 50k itafutie odd hata 1.3 mdau..mimi huwa odd zangu ni 1.25 mpaka 1.5 kwa timu 2 mpaka 3 sijawahi jutia..ila natia kuanzia 100k
  4. 2

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Anapatikana humu ndani? Helabet naona wametula vichwa natoa toka jana hela hazitoka
  5. 2

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwa tigo pesa, na nshatoa sana zaidi ya milion 2 toka kombe la dunia lianze na hawakuwa na shida yoyote...
  6. 2

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Aisee hawa helabet sijui nifanyeje,kipindi cha World Cup kuwithdraw ilikuwa chap hata iwe milion, ila sasa hawataki sijui tufanyeje??
  7. 2

    Kampuni ya Gardaworld imetangaza nafasi za kazi kwa madereva

    Sorry nje ya mada, vipi kwa nafasi ya walinzi kuna muda maalumu wanatoa nafasi au naweza kupeleka tu barua muda wowote? Na vipi kuhusu umri limit yao?
  8. 2

    Hivi kweli kumuona Nabii Mussa wa Kimara ni Tsh. 100,000/=?

    Huyu anajiita kuhani Musa na sio nabii musa kanisa lake ni la gharama sana, kahamia toka pale mwenge mpakani ndipo kanisa lake lilipokuwa mwanzo, ana waumini wengi mnooo na hilo eneo lake kalinunua mwaka jana kama sikosei kwa cash zaidi ya pesa za kitanzania milioni 700. Ila ndi hivyo kumuona...
  9. 2

    Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

    Hapa ni utoto unamsumbua.kubwa gani halielezeki? Ni kushika/kushikisha ukuta tu ndo hakuelezek..
  10. 2

    Ijue vyema tafsiri ya Megawati 2115 za umeme

    Kuanzisha/kukamilisha miradi ni vitu vya muhimu kwa kiongozi. Ila sio ticket ya kutokupingwa. Ukuu wa nchi una mambo mengi mno mno. Kama umetoa maoni ili kumkampenia Magu ntakuelewa ila kama umetoa huku ukiwa NEUTRAL basi huko 'upstairs' kwako hakuko vizuri jitathmini
  11. 2

    Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

    Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu...nashukuru Mungu sijawahi jikweza nionekane ninauwezo mkubwa...
Back
Top Bottom