christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,486
- 3,877
Mkuu umesimulia vizuri sana, bila kusahau kuna Megawatt 60 za Rusumo kule ambazo tutagawana na Rwanda na Burundi kwa kweli JPM anastahili pongezi wa Tanzania tutaoga umeme.
Miaka 20 akiwa Waziri alikuwa busy anaangalia Majizi yakiiba. siyo. Ina maana asingepata Urais angendelea kuangalia nchi ililiwa kwa miaka 30 bila kusema kitu .... Watanzania, siyo wajinga!!Halafu unakuta jitu linampinga Magufuli! Hawa wezi na misheni town.
Big up boss!!You must be crazy upstairs or you are blind! Watu Sio wakamilifu lakini sintakuelewa ukiniambia huoni aichofanyaMagu! He might have some weekness but haimpunguzii kuona vitu alivyofanya! Mijitu mlishazoea shida na inferiority complex sasa amekuja mtu anayejitambua na anataka nanyie mnyenyuke hamtaki.hata Kenya sasa wanafyata mikia halafu mnataka kuturudisha kwenye ujinga wa zamani