Recent content by 20162016

  1. 20162016

    JamiiForums Tanzania Serikali iingilie kati bei za mayai

    Biashara ya ufugaji wa kuku mayai ipo katika hali mbaya sana. Bei za mayai ya kisasa zimeshuka kiasi kwamba wafugaji wanashindwa kulipia vyakula vya kulisha kuku wao. Taarifa ambazo hazijathibitishwa ila zinasemwa mitaani ni kuna mayai kutoka malawi na zambia yanaingia kinyume na utaratibu...
  2. 20162016

    JamiiForums Tanzania TRA na mapato ya November 2016

    Leo ni tarehe 18 December 2016 lakini sijasikia TRA wamekusanya sh ngapi kwa mwezi november. Imekua ni kawaida kila mwanzoni mwa mwezi tunaambiwa kilichokusanywa mwezi wa nyuma yake. Aliyesikia TRA wakitangaza atuambie ni sh ngapi ilikusanywa
  3. 20162016

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Katibu mkuu wa CHADEMA awe Benson Kigaila

    Kigaika hata mimi naunga mkono, Jamaa yupo vizuri sana
  4. 20162016

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Subirini ushindi wa Tsunami

    Hata Lowasa akiingia itakua vyema akimteua muhongo katika hii wizara bila kujaji katoka CCM, aliimuda sana huyu prof.
  5. 20162016

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Urais, Ubunge na Udiwani kubandikwa Vituoni

    CCM kwisha, Goli la mkomo lakwama
  6. 20162016

    JamiiForums Tanzania Mada moto live on Channel Ten: Yaliyojiri mwisho wa wiki kuelekea uchaguzi mkuu

    hawa chanel 10 why kila siku pole pole, hamna watu wengine nchi nzima?
  7. 20162016

    JamiiForums Tanzania Kadi ya mpiga kura - Hakiki taarifa kupitia simu yako

    Nasikia ni bao la mkono, ukijaza namba yako wao wanaichukua japo sijajua km watafyatua kitambulisho kingine au la
  8. 20162016

    JamiiForums Tanzania Hii project ya Tanzania Democracy Support Project ipo?

    M-Pesa : Aloyce Shirima ----0763-99-04-11, Namba hyo na ukipiga haipatikani na wao wamekataa mtu kupiga, Anayetaka kuliwa atume
  9. 20162016

    JamiiForums Tanzania Interview SIDO Business development officer

    Na mimi niliapply ila sijaitwa, walikupigia simu au wamebandika majina? au km kuna link yeyote waliyoweka majina plz tuhabarishe tujiangalie
  10. 20162016

    JamiiForums Tanzania Ugombea binafsi kuzua tafrani uchaguzi 2015

    Kama rasimu ilivyopendekeza kutakuwa na wagombea binafsi kwa nafasi zote, swali: nini kitanyika endapo watajitokeza wagombea 70 kwa nafasi ya urais na 70 kwa ubunge? je wataruhusiwa wote kugombea? vipi gharama za kuandaa mabox ya kura na confusion kwa wananchi kuwatofautisha wagombea? Kuna haja...
  11. 20162016

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Nigeria atangaza hali ya Hatari nchini mwake

    Pin BBC to your taskbar by dragging this icon to the bottom of the screen Nigeria: Goodluck Jonathan declares emergency in states Nigerian President Goodluck Jonathan has declared a state of emergency in three states after a series of deadly attacks by Islamist militant groups. The military...
  12. 20162016

    JamiiForums Tanzania Live Coverage from Mzenga Old Stand Grounds Mlandizi

    Si tuliambiwa mkiti wa kanda ni prof safari? imekuaje marando kamnyanganya kiholela?
  13. 20162016

    JamiiForums Tanzania Madhaifu Haya Kurugenzi ya habari na uenezi CHADEMA yanatia kichefuchefu

    Exactly kaka lakini hawa hawasikii, tatizo hili mimi nishaambia toka mwaka jana lakini hakuna hatua yeyote, tusiwalalamikie ccm kushindwa ikiwa na sisi tunashindwa jambo dogo kama hili
  14. 20162016

    JamiiForums Tanzania Madhaifu Haya Kurugenzi ya habari na uenezi CHADEMA yanatia kichefuchefu

    Usikariri, hili swala ni muhimu kwa chama na sio kuleta kejeli za ki.pu.mbavu, mnachotakiwa kufanya ni kuchukua hatua na sio kuleta mambo yasiyo ya maana, sasa hapo lumumba watalipa kwa lipi? eneza chama acha ushamba wewe
  15. 20162016

    JamiiForums Tanzania Madhaifu Haya Kurugenzi ya habari na uenezi CHADEMA yanatia kichefuchefu

    Ni muda mrefu sasa kurugenzi ya habari na uenezi kupitia kwa Tumaini Makene imekuwa ikishauri wa namna ya kutumia kila fursa inayopatikana kukitangaza chama itumiwe ipasavyo, Cha kushangaza ama kwa dharau, au uzembe au ukosefu wa uelewa wa kutosha bwana Makene na maofisa wenzake (Isipokuwa...
Back
Top Bottom