Kuna jamaa rafiki yangu nilimtembelea kwake nikamkuta amebanika maji ya kusongea ugali yana chenka pembebi kuna unga na mwiko alivyoniona uwezi amini aliyapooza Yale maji akaenda kuyaoga.....
Asante mkuu. Japo cjamaanisha wawe pamoja kwa maana ya kuwa chama kumoja ila lengo langu ni kuondoa ubiashi na hoja zicizo na tija bungeni. Kwa mfano kuna upande hawawezi kupinga kile kinacholetwa bungen, naona kwa njia hii at least hili litapungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.