Habari,
Naandika uzi huu nikiwa inyonga hapa , jambo la ajabu wapendwa huku hata uwe na debe la mahindi moja kwenye kibaskeli utastajabu afisa ushuru mwenye pikipiki akikufukuzia ili akukatie risiti la ushuru.
Ajabu hawataki kujua km unatoka shamba au la.
Nimeshudia mama mmoja anakitenga nusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.