Ndugu mropokaji unajua thamani ya uhai wa mtu kulinganisha na hilo lichuma. Naamini huna hata baskeli zaidi ya masufuria ndani kwako ,lasivo ungewajua dereva wa mabasi walivyo mbwa .
Swala la kupangiwa kifurushi muda wa kuisha nahitaji kibatala mmoja tupige hela. Mfano umenunua chipsi alafu unaambiwa ukishindwa kuyamaliza ndani ya nusu saa tunazchkua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.