Recent content by 19's

  1. 1

    Watu watatu wachinjwa wakiwa msikitini Mkolani jijini Mwanza

    Nakaa maeneo ya mkolani,hapo palipotokea mauaji kuna misikit miwili,wavaa vipedo na waislam wa kawaida,n ka story karefu kidogo,ila waliouwawa n waislam wakawaida,na waliuwawa wakiwa wanasali sala ya saa 2,waliwaambia wazime taa,
  2. 1

    Yupo wapi Betrice Muhone

    Beatrice baada ya kufulia alirud kwaya,kwa wapenzi wa shangilien..beatrice anaonekana katika albam 3,anaonekana ktk albam yoote ya shangulien part 2,anaonekana ktk baadhi ya nyimbo kwenye albam ya daud,na nisamehe wimbo wa mwisho.
  3. 1

    Dina Marios: Nilipoteza kipindi cha "Leo Tena" baada ya kwenda kujifungua

    Alivyotoka kujifungua akamkuta da huu(aliyemuachia kipindi)kapewa jumla,dina akaambiwa asubir atapewa kipindi kingine,alkaa clouds muda bila kutangaza,zamarad akaunga ushoga na da huu,dina akaona ajiengue..
  4. 1

    Clouds FM na E FM katika bifu zito na la hatari

    Hapo kwa dina n uongo,na usimchafue mdada wa watu aisee,dina hajawah kuwa na mauhusiano na ruge kabisa,kama hujui kitu bora uulize,dina alkua natoka na reuben ndege na ndo mzazi mwenzie.
  5. 1

    Kumbe Mama Magufuli ni left!

    Achen unafik bas,siasa zinaingiaje hapa s kuja jukwaa lake huko??mbona huwa mnajadili miguu ya wema,mashat ya le mutuz itakua janet??mkweendeeee
  6. 1

    Wema Sepetu: Idris umenifanya nijivunie kuwa mwanamke

    Siyo kwa mahaba yale,nlitama kipindi kisiishe,guyz hakuna mwenye mahaba yale jmn,n pm khaa:..!
  7. 1

    Majungu ya Kigwangalla kwa Dr. Mwaka sio jambo zuri

    teheeee heeeeeee heeeeeeeeeeeee,asante nmecheka
  8. 1

    Kituo cha Afya Fore Plan Clinic chafungwa

    pole kigwangallah kakupunguzia machungu
  9. 1

    Majungu ya Kigwangalla kwa Dr. Mwaka sio jambo zuri

    teheeee dokta wa kweli hawatoki ndukiiiiiiii..
  10. 1

    Mwanza - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    kwan nyie umeshindwa kuwapa ushind?????veep arusha na moshi??
  11. 1

    Mwanza - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    hahaaaaaaaaaa heeeeeeeee uwiiiii...
  12. 1

    Njama za kumuua Vincent Nyerere zazidi kushika kasi

    ningekuona Muungwana kama ungejib hoja na sio matusi....
  13. 1

    Manufaa na madhara ya sinema za ngono

    Jukwaa linaitwa MMU Haya mahaba peleka jukwaa la siasa.
Back
Top Bottom