Manufaa na madhara ya sinema za ngono

Manufaa na madhara ya sinema za ngono

Mkuu kwa sasa tuko bize na harakati za kuitoa CCM madarakani!!! Haya mambo ya kijinga kwa sasa hayana maana subiri mpaka Lowassa atapoapishwa ndio ulete mada kama hizi hapa jf!!! Kaa relax, na umchague lowassa na sio kujadili maswala kama haya!!!
Jukwaa linaitwa MMU Haya mahaba peleka jukwaa la siasa.
 
sheria za nchi yetu haikatazi uwepo wa adult site... ila wanachofanya ni kuweka maudhui na mipaka kwa watumiaji wa hiyo mitandao..

Yeah ndio maana rahatupu wamebadilisha sasa hivi wanaweka picha zenye maadili sio mambo ya tigo kama walivyokuwa wanafanya b4 hiyo sharia.
 
Yeah ndio maana rahatupu wamebadilisha sasa hivi wanaweka picha zenye maadili sio mambo ya tigo kama walivyokuwa wanafanya b4 hiyo sharia.

mkuu n kwel kbsa siku iz rahatupu hawaweki hayo mauondo wamenikatili kudadadekii
 
Yeah ndio maana rahatupu wamebadilisha sasa hivi wanaweka picha zenye maadili sio mambo ya tigo kama walivyokuwa wanafanya b4 hiyo sharia.

mkuu n kwel kbsa siku iz rahatupu hawaweki hayo mauondo wamenikatili kudadadekii


rahatupu walichokuwa wanafanya ni kudhalilisha watu.. .. picha au video zao nyingi zilikuwa zinatumwa kwa malengo maalum ya kudhalilisha watu. na wanawake / wasichana ndio wamekuwa wahanga wakuu wa ule mitandao wa ngono.

Kwa kuwa sheria inakataza watu kutuma picha au video za kumdhalilisha mtu mitandaoni bila ridhaa yake, Rahatupu wameona wajikite kwenye masuala mengine.
 
Naishukuru serikali kwa kuleta sheria ya mitandaoni. Kama si sheria hiyo rahatupu.blogspot.com wangeniharibia maisha maana kule wanafundisha mambo ya kwenda makunduchi nami nilikuwa nimeshaanza kuvutiwa na kumtaka demu mmoja wa mchangani twenzetu makunduchi siku moja akakubali. Siku haijafika nikaahirisha.
huo ni uongo
umeshajifunza kuendesha baiskeli sasa Serikali inakataza usipande bila helmet au pichu
unavunga hutaki hata kuikokota km rahatupu.blog hawapo ingia baby_in_blue.com mwendo ni uleule huko hawakatazi
 
mkuu n kwel kbsa siku iz rahatupu hawaweki hayo mauondo wamenikatili kudadadekii

Ayaaaah! Nilishaingia kingi tayari kwenye huo mtandao. Ipo siku waliweka demu moja lina marinda ya kufa mtu khalafu ni safiiiiiii kinoma nikajikuta jamaa yangu ananiambia "baba amimi ataka iyo kitu" nikamwambia sasa mimi nitaanzia wapi.
 
Back
Top Bottom