Recent content by 1234.com

  1. 1234.com

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kuniweka hai mpaka mda huu...niseme kuwa Sir. Jeff tunashukuru sana kwa moyo wako wa busara na usio na uchoyo katika kutufungua macho katika elimu hii ya soko la Dunia , forex ...mimi nilianza nawe since day one nasoma kila kitu unachaposti japo sio mchangiaji...
  2. 1234.com

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Kweli Lazima Mtu ufurahi na kutabasamu kwani unaona kabisa wapi unaelekea baada ya miezi kadhaa au mwaka wa hard working.......Stay Blessed Mkuu Ontario
  3. 1234.com

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Hatua nzuri sana mkuu Ontario na hongera kwa ku 'bypass obstacles' zote ulizo kutana nazo, tunaendelea kupata elimu ya vitabu huku tukisubiri 'batches' za mafunzo zianze ili watu wapate wasaa wa kujifunza ili kufanikisha hii safari ya kuwa free kiuchumi katika hii bahari kubwa yenye kutumia...
  4. 1234.com

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Hello habari ya kwako, hope utapata nafasi leo ya kuangalia hilo swala la kiwango chenye zuio la kuhamisha fedha
  5. 1234.com

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Asante sana mkuu kwa elimu yako nzuri sana katika kusaidiana kupunguza makali ya makato yanatokana na ugumu wa benki zetu na utaratibu kwa ujumla wa nchi zetu na bara la africa kwa ujumla, Niendelee kutoa shukhrani kwa mkuu/ Mhenga Ontario kwa kazi aliyofanya mpaka sasa Tanzania Imeamka kupitia...
  6. 1234.com

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Ila wewe Mberoya ushukuru unakuzwa jina kwa 'reply' wanazo fanya watu na hii sio sawa maana unatafuta kiki kwenye 'page' ya mtu mwingine ungefungua yako , huwezi kuwa unatoa ushauri hasi wakati wote, toka mwanzo wewe na 'forex' ni 'scam' or kutapeliwa n.k, wewe sio bure yawezekana unafanya...
  7. 1234.com

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu nimefanya kosa gani?? Maana uzi huu ni mfupi tu!! Je umeiona hii yangu tu kati trend zooote???...mie nadhani let focus kwenye main issue tusimind vitu vidogo vidogo...kama nimekosea niambie umekosea hiki let move on
  8. 1234.com

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Tunasoma mkuu wewe chapa kazi sisi tunaendelea kusoma hawa wapotoshaji hawata ambulia kitu....mbele kwa mbele
  9. 1234.com

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Hello wakuu please Add me also on both whatsap and telegram 0686524840
  10. 1234.com

    Mbona NHIF mnatoa majina nusu nusu?

    Mwenye majina ya uhasibu?? Na auditing?
  11. 1234.com

    Mbona NHIF mnatoa majina nusu nusu?

    Una majina ya fani zote?
  12. 1234.com

    Mbona NHIF mnatoa majina nusu nusu?

    Attach file bac nac tulio sahau namba tuweze on tumepata ngapi
  13. 1234.com

    NHIF oral interview results tayari?

    Mwenye list ya majina nhif please interview ya written atupie please nafasi za uwasibu
  14. 1234.com

    Edward Lowassa hatoruhisiwa kugombea Urais!

    Je umeshajiandisha?????
Back
Top Bottom