Wakuu huyu jamaa mwanzo mwisho amekuwa jukwaa la VIP,tena kiti special ,hata ile kombe ndo alileta mezani,kwanini huyu jamaa kachaguliwa kuliko wachezaji wote waliopita au kuliko wote waliostaafu?
Wakuu kwa mawaziri wa awamu hii nadiriki kusema waziri wa mali asili na utalii ni wazuri anayeonekana anajua anachokifanya,tangu aingie kwenye hiyo wizara ametulia vizuri na amekuwa mchapakazi.
Kila mda yupo kazini,hakuna siku hutamwona akiwa kazini kwenye mbuga na sehemu zingine zinazohusu...
KELELE KULIPIWA MIL.10 KWA MWAKA.
Serikali kupitia Mamlaka ya usimamizi wa mazingira (NEMC) imetangaza kuanza kutoza kodi ya shilingi milioni 10 kwenye maeneo yote yanayozalisha kelele kwenye makazi ya watu ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira unaosababishwa na kelele hizo (Noise pollution).
_...
Mapenzi ya wanawake wengi wa Tanzania ni kudanga tu,atapataje hela toka kwa mwanaume ,wengi wana akili za nyumbu.
Wanawake wa kenya wapambanaji,watz tuoe Kenya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.