Simba yaongeza mbrazil wa tatu

Simba yaongeza mbrazil wa tatu

South Africa unafananisha na TPL?tuwe serious
TPL usiichukulie pouwa pamoja na vitimbwi vyote ila ndo ivo kwa viwango vya ubora wa clubs na league tupo nafasi ya 12.

Tusijizalau kiasi icho
Sisi tunapeleka team 4 CAF na wao team 4

Wao wametuzidi uwekazaji tu wa pesa
League yao inapesa nyingi kuliko sisi
 
TPL usiichukulie pouwa pamoja na vitimbwi vyote ila ndo ivo kwa viwango vya ubora wa clubs na league tupo nafasi ya 12.

Tusijizalau kiasi icho
Sisi tunapeleka team 4 CAF na wao team 4

Wao wametuzidi uwekazaji tu wa pesa
League yao inapesa nyingi kuliko sisi
Sisi bado sana,tunaishi kwa miujiza tu kama tulivyofuzu Afcon
 
Vyuraa vyurani mbona mnaanza kutoa povuuu hata hamjawaona wakicheza.subulini ligi ianze ndo povu liwatoke.

Ikumbukwe hata kikongwe kagele mlimpoondaaaa, ila ndo kawa mfugaji bora
 
Back
Top Bottom