Aliyekwambia USAFI unaingiliana na MAANDAMANO YA CHADEMA ni nani? Wao si waendelee na maandamano yao wakati usafi unafanyika Shida iko wap? ACHA UOGA
MIMI NIPO NA MAJESHI YETU KUFANYA USAFI
Kulipa Kodi ni fahari kwa Nchi yako. Acha vijana walipe kodi. Barabara zinajengwa, Reli ya SGR inajengwa, Mifumo ya Maji inajengwa Shule za Msingi, sekondari vituo vya Afya n.k Ongeza vya kwako ktk list
Kuchangia shughuli za maendeleo kimsingi ni Hiyari na Hakuna sheria ya Kumlazimisha mtumishi wa Umma au yoyote kuchangia
Kwa Kiongozi yoyote (Mfano huyu Mwl Mkuu) unapokuwa mbele ya hadhara kutotamka kitu cha kuchangia au kutamka maneno Mfano SINA, SICHANGII na mengineyo ni utovu wa Nidhamu kwa...
Mi nadhani Mh. Rais afute tu sherehe hizo ni matumizi mabaya ya fedha za kodi.... Watakolalamika ni wale wanaolipwa Posho kwenye sherehe hizo
NB: Sherehe hizo ziwepo kwenye Kalenda tu inatosha kwa kumbukumbu
Kama kuna wakati najisikia raha kuwa Mtanzania hakika ni sasa
Mzee Mwinyi, Magufuli tutampa mitano tena ya Ahsante
Hadi wanyooke hawa wanaotawaliwa na MABEBERU
Inna lillah wainaillah rajuun.....hakika sisi wote ni wa Allah
Allah hatupi Mitihani ila tunayoiweza
Mungu ampe nguvu zenye kukabiliana na Mtihani huu mkubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.