Siku hizi wanaume hata kama wanaoa,lakini lengo la kuoa halitimii kikamilifu"Ndoa maana yake ni utulivu na kuondoa nyege kwa mwanaume pia hata mwanamke.
Mwanaume ana haki zaidi kwa kuwa,kakulipia MAHALI na hujatoa chochote...kwa hiyo mume kwa kipengele hicho ana haki zaidi kwa mwanamke.
Na...
Mi zinazopatikana Kama Mlimani city au jumia zinaweza zikawa za uhakika yaani maalum kwa android au nazo ni magumashi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nahitaji tu TV box ya kawaida ambayo naweza kupata app kama azam na kuistall baadhi ya app nichek,ila sijajua iliyo bora na rahisi kupata ni IPI,pia nipe ubora wa Mi box
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana,ila kuna jambo linanichanganya sana,kuwa na Mi box na kuwa na kile kiflash cha android box(amazon stick) hapa mzuli ni ipi maana kuna baadhi zinaitwa amazon na hiyo Mi box...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu kuna android box yoyote yenye FTA ?ambayo kwayo naweza download app pia kuona hizo FTA...?
Pia kama TV yako si quality kuna kifaa chochote unaweza Fanya TV ikawa quality?au ni ubora wa kioo?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.