Recent content by 0021

  1. 0021

    Usiombe mpenzi wako akuchoke halafu wewe uwe bado unampenda

    Hizo ni dalili tosha kwamba umeanza kuchepuka, kwahiyo akili yako imetekwa na hisia za mme/mke mwingine...unamuona partner wako si lolote ukimlinganisha na mchepuko.. Siku ukitendwa vibaya na mchepuko utajuta na kuomba kutubu zambi zako na utatamani umuombe msamaha mke/mme wako, na mwisho wa...
  2. 0021

    Zanzibar kielimu iko nyuma zaidi ya Mtwara, ni ujinga kusema tunafelishwa

    Hivi mnakaa na kuumiza vichwa suala la Elimu Tz...hivi kwa elimu ipi inayotolewa Tz hii...Wabara someni sisi tutawaajiri kwenye makampni yetu... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. 0021

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Mkinga Tanga nije hapo Kilosa
  4. 0021

    Waziri Kigwangalla afanyiwa maombi na wazee wa kimila na waganga wa kienyeji

    Mnaita ni uchawi kwasababu tu ni practice za Kiafrika,ama kweli Dizi zilizoletwa na majahazi mnajiona nyie ndo wa peponi tu moja kwa moja..Ila Mungu mjanja sana ndo maana akajificha asionekane,maana mmengesumbua sana
  5. 0021

    Hivi itakuaje watanzania wote tukiamua hili

    Ukisusa wenzio wala
  6. 0021

    Hivi ni sahihi kunyamazia hii kampeni inayoendeshwa na Mange Kimambi?

    2015...UKAWA walishinda mitandaoni,kilichotokea sote tulishuhudia...Vijana wa kitanzania ni waoga sana..
  7. 0021

    Simba 6 wauawa kwa sumu Mbuga ya Wanyama Ruaha

    Wafugaji na wakulima wanaathiriwa sana na wanyama pori kuhalibu mali zao...ukienda TANAPA kudai fidia a uharibifu walahi utakoma,kwanza utabambikiwa kesi ya uwindaji haram ili usirudi tena kudai fidia...Sasa wanyonge wafanye nini...Simba wakiua mifugo,kesho yake raia wanachukua utumbo wa mzoga...
  8. 0021

    Nini utofauti wa degree ya OUT na ya vyuo vya kawaida?

    Kwa Tz hakuna tofauti ya aliyesoma OUT na vyuo vya kawaida,elimu ya kibongo siyo helpfull saaana...Bora usome OUT uungze gharama za ada,vyuo vingne ada kubwa elimu yenyew magumash tu....
  9. 0021

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo wilaya ya Mkinga Tanga...mi nije Mkuranga au Kibiti,Nipo idara ya Sekondari..
  10. 0021

    Jiwe la sumu ya nyoka

    Usiliamini 100% hilo jiwe kama tiba ya sumu ya nyoka,hasa wenye sumu kali kama vile Cobra au Blackmamba...jiwe hili husaidia sana kwa nyoka wasio na sumu kali pamoja na wadudu jamii ya nge,buibui na tandu..Kwa wale wakazi na watakao bahatika kufika Wilaya ya Kilosa hasa maeneo Kilosa mjini...
  11. 0021

    Mikataba ya kazi za ualimu

    Mtoto akifaulu pongezi kwa mzazi na mwanafunzi,ngoja sasa wafeli utasikia pale hamna walimu,walimu hawafundishi kabisa,fyuuuuu....Toto halifaulu mzazi jiongeze hizi ni zama za kibepari pesa mbele kama tai....
  12. 0021

    Ushauri: Changamoto za kuoa mke asiye na kazi

    Tafuta pesa usitafute ajira....na kwenye ndoa usioe ajira bali oa mwanadamu,suala la kuajiriwa ama kutoajiriwa siyo kipaumbele sna.
  13. 0021

    News:Kipa wa Serengeti boys Ramadhani Kabwili asaini Yanga miaka mitano!!

    Looo dogo bora aende zake kwa mkopo hata Mtibwa ama Azam U20,club za Simba na Yanga si marafiki kwa young players...watamuulia kipaji kabisaa
  14. 0021

    Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

    tatizo uislamu unatukataza kula kibudu ng'ombe wangu unipangie wa kumla? no thank u,kama ilivyo kwa wakristo kutupangia idadi ya wanawake wa kuoa...hapana kwa kweli matunda yote haya halafu unipangie nichume mti mmoja tu...
  15. 0021

    Nini tofauti kati ya mwanamke kutoa mimba na mwanaume kupiga punyeto?

    TOFAUTI:1.ukipga nyeto unajisikia raha sna na ukiabort utapata maumiv makali sana. 2ukipiga nyeto unatoa manii ila ukitoa mimba utatokwa na damu nyingi.3 abortion inaweza sababsha kifo ila nyeto walaaa inakuponya kiroho.4 abortion inatumia pesa nyngi sana,ila puchu akaaa costless.5,puchu huokoa...
Back
Top Bottom