Ni broker yupi mkuu? Mtaje
Mimi nilikuwa na matatizo kama hayo kwa Orbit Securities, nilivyofanikiwa kuuza hisa zangu nikahamia kwa mwingine (iTrust finance) huyu nae matatizo yale yale, simu hawapokei, email, messages, DMs hawajibu, unaweka order ya kuuza leo na inakuwa fullfilled the same day...