Wadau habari za jioni naulizia eti hapa DSM kuna duka gani wanauza miwani za macho yenye upungufu wa uwezo wa kuona .. maana kuna hospitali moja nilipimwa macho nikaambiwa niko na shida ila sasa...
Habari za leo wadau,
Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost ramani ya nyumba ile ambayo naendelea kuchora.
Hivyo hapa ndipo nilipo ishia. Ila bado naendelea nayo kila napo pata muda.
TAFADHALI SINA UFAHAMU WA KUTOSHA WA MAJENERETA.
HELA YANGU SI KUBWA
NIMEAMBIWA JENERETA 5.5 KW NA LILE LA 6KW NI MAZURI.
NILITAKA KUCHUKUA 5.5 KW NIKAAMBIWA IPO 6KW NDO NZURI.
HEBU NISHAURINI...
Tumia OMGrace Black Castor Oil ni kiboko kwa ukuzaji na utunzaji wa nywele,kama unasumbuliwa na mba na miwasho baada ya kusuka pia ni suluhisho lako.
ukinunua utapokea na karatasi ya maelekezo...
~ Funga mfumo wa gesi asilia kwenye gari lako
~ Mfumo wako wa petrol au diesel uliopo hauondolewi unabaki
~ Kwa Mtungi wa kilo 15 gesi asilia unaogharimu 22,500 unatembea kilomita 200
~ Chaguo...
DN holdings company limited ni logistics company inahusika sana na kutoa shehena za mizigo mbalimbali bandarini kama mawakala wa forodha(clearing and forwading)
Dn holdings company limited...
NAUZA PIKI PIKI LOCATION MWANZA, MAGU
AINA MAHINDRA
COLOUR BLACK
MODEL AROW
CC 110
MWAKA WA KUTENGENEZWA 2015
IMETENGENEZEWA INDIA
TRANSMITION 4 GEAR
CONDITION , GOOD US NEW
INA KM 58,000
DOCUMENT...
Wana JF.
Naomba msaada kwa kufahamishwa ni wapi ninaweza kupata mkopo wa riba nafuu wa kumalizia ujenzi (finishing) ya jengo langu.
Vigezo viwe riba nafuu na muda wa kutosha kulipa deni (kuanzia...
Habari wana jukwaa
Nahitaji chumba single self chenye jiko na umeme wa kujitegemea kiwe popote ndani ya ARUSHA Panapofikika kwa urahisi kwa kupanda gari moja tu la kufika town
Bajeti yangu ni 80k...
Nina design aina yoyota ya matangazo, vipeperushi, mabango na kadhalika.
Wasiliana nasi: +255684101707 kwa watsapp pia utatupata kwa namba hiyo hiyo.
Hii ni moja ya kazi yetu.
NAUZA WALLET ORIGINAL ZA NGOZI NA SAA OG AINA YA STAINLESS STILL (HAZIPAUKI)
CAL.+255 788-224220
+255 767-562153
+255 678-335833
BEI YA WALLET SH.25,000
BEI YA SAA SH.35,000
UNAPONUNUA BIDHAA...
Habari wadau, nauza mota zangu 2 za hp 3 kila moja.Mota zote ni nzima kabisa na hazina shida yoyote.Ni za phase 3.
Zote ni made in germany na zinauwezo kutumika kwenye phase 3.Bei ni laki 3 kila...
Kutana na offer ya kipekee kabisa kutoka kwa Umoja 1.Mambo ya kuamka asubuhi mgongo na umauma sasa basi
Nini: Godoro
Kampuni: QFL DODOMA kampuni bora ya magodoro
Size: 6 x 6 inchi nane (6 x 8...
Habari za jioni wapendwa,
Karibu ujipatie simu ya iphone kwa bei nafuu kabisa, simu ni moja tu na ni used. Haijapasuka wala kukwaruzika pahala na camera yake ni matata.
Simu bado ni nzima kabisa...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei nafuu. Kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.