Phone4Sale iPhone 6+ inauzwa kwa bei nafuu kabisa

mindme

New Member
Apr 6, 2020
3
7
Habari za jioni wapendwa,

Karibu ujipatie simu ya iphone kwa bei nafuu kabisa, simu ni moja tu na ni used. Haijapasuka wala kukwaruzika pahala na camera yake ni matata.

Simu bado ni nzima kabisa haina tatizo la aina yoyote.

SIMU: iphone 6+ (inauzwa pamoja na earphones zake) haina charger wala cover

UKUBWA: 128gb

BEI: 400,000/-Tshs tu.

Kwa mawasiliano zaidi piga au whatsapp kwenye number, 0753 951520

Wahi mapema ujipatie simu kwa bei ya kutupa.

Bei ni Fixed.

Karibuni Sana.

20e7a1fd-f326-4111-a7ff-3204ad02d4f5.jpg




6b01ba0e-cdde-468d-85c9-831e78be8eef.jpg

87cdb5d0-c476-466c-86b3-0c6e388711fc.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom