Mimi ninayo "Double" with living room adjorned with kitchen, bath, toilet and small store. Ziko 6 in 1 in fenced area, with borehole and own LUKU. There is additional shared LUKU for pumping water and security light. Iko 1 km from Tripple A white rose road. For viewing call God 0754481521 Price fiixed TZS 200,000 payable three months in advanceHabari wana jukwaa
Nahitaji chumba single self chenye jiko na umeme wa kujitegemea kiwe popote ndani ya ARUSHA Panapofikika kwa urahisi kwa kupanda gari moja tu la kufika town
Bajeti yangu ni 80k hadi 120k.
Kasema ana 80k mpaka 120k.Mimi ninayo "Double" with living room adjorned with kitchen, bath, toilet and small store. Ziko 6 in 1 in fenced area, with borehole and own LUKU. There is additional shared LUKU for pumping water and security light. Iko 1 km from Tripple A white rose road. For viewing call God 0754481521 Price fiixed TZS 200,000 payable three months in advance
Kikipatikana utafutwaje sasa?.Habari wana jukwaa
Nahitaji chumba single self chenye jiko na umeme wa kujitegemea kiwe popote ndani ya ARUSHA Panapofikika kwa urahisi kwa kupanda gari moja tu la kufika town
Bajeti yangu ni 80k hadi 120k.
Arusha maisha ni ya kawaida ukiamua kuishi maisha ya ghalama ni ghali lkn ukiamua kuishi maisha ya kawaida hakuna gharama ni kama mikoa mingine mkuuMaisha ya arusha hayako kama nilivyokuwa nayafikiria kumbe....chumba self plus jiko kwa elfu 80??
Alaaa kumbe, basi mimi hakuna mkoa nauogopa kama ArushaArusha maisha ni ya kawaida ukiamua kuishi maisha ya ghalama ni ghali lkn ukiamua kuishi maisha ya kawaida hakuna gharama ni kama mikoa mingine mkuu
Karibu Arusha
Namba "Option" ajiongeze, chumba kimoja akipata mgeni wa jinsia tofauti anafanyaje?Kasema ana 80k mpaka 120k.
Ooh really? Pembeni sana ya mji lakini si ndio?Mpaka vya 50k vipo mkuu
Aisee ahsante kwa kunijuzandio vipo
We are African. Kama uko mjini na mdogo wako anataka kuja mjini kujiendeleza kielimu utamlaza guest house?mkuu mgeni wa kuja kulala kuna nyumba za wageni
Lakini unakuta cha wastani sio kikubwa kihivyo.Maisha ya arusha hayako kama nilivyokuwa nayafikiria kumbe....chumba self plus jiko kwa elfu 80??
Kama kina jiko sio mbaya ila hapo kwenye tope sasaLakini unakuta cha wastani sio kikubwa kihivyo.
80 hiyo hata Njiro anapata ila sasa sehemu zingine mvua ikinyesha nje unapachukia ilo tope.