Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipeni chaka la hiyo boot nipendeze, smart brainy lazima niwe na smart boot
6 Reactions
40 Replies
5K Views
Mzigo unapatikana kongowe ya mbagala! Ni sofa nzuri kabisa za watu 7. Muundo wa kisasa kabisa. Bei ni 450,000/= Piga namba 0785753780
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ipo mabibo dar es salaam ina crack kwenye kioo na shida na ela ya haraka kidogo ni nzima na kila kitu kinafanya kazi kwa weledi wa halu ya juu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya tabata iwe na fence pamoja na parking, maeneo ya kwa bibi kurudi aroma budget yangu ni tsh 300k
2 Reactions
0 Replies
871 Views
Enewei...Ni fundi urembo wa urembo wa Dirisha Urembo wa nguzo Urembo wa fensi Urembo wa kona au pembe za nyumba! Nipo Temeke DSM na popote Tz nakufikia Simu : 0789005562
3 Reactions
4 Replies
3K Views
NEW Car Diagnostic tool ECU Coding Full Code Reader Scanner tool inauzwa, inasapoti model ya gari zaidi ya 140. Ina 1. WiFi,kwaajili ya file sharing or internet sharing. 2. ina Tablet ya Inc...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wanajamvi, Natafuta mtu mwenye wazo bora la biashara tuweze kufanya kazi, biashara i-base katika mambo yafuatayo: 1) Kutatua matatizo ya Jamii. 2) Kuwafikia Watanzania wote either kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibu Deep Media Digital Agency ujipatie website bora kwaajili ya biashara yako Kwa Tshs 450,000 tu unaweza kumiliki Website ndani ya siku 5. Ofa hii inajumuisha yafuatayo Utapata muonekano wa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu. Kitanda cha futi 5x6 (mbao ya mninga) pamoja na godoro lake (Dodoma QFL) vinauzwa kwa pamoja. Bei: 220,000/=. Mawasiliano: 0755 831576
0 Reactions
9 Replies
2K Views
clean condition NISSAN NAVARA PICKUP for sale cheap price Full documents,new tires REG-DJL YOM-2009 Cc-2488 Km-100060 Fuel-diesel Only for Mil. 22 Location DSM Call; 0768540772 SOLD SOLD
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kange Mkurumuzi Tanga mjini km4 kutoka stend mpya Urefu 27m Upana 22m kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la urasimishaji ili viwanja vipimwe na kupewa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ewe mkazi wa Dar es salaam karbu tukuhudumie Mchele safi toka kyela. Tutakuletea mchele popote ndani ya Dar es salaam kwa bei 1400/Kg hapo ni pamoja na gharama za usafiri. Kwa mawasiliano zaidi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau natafuta Nyumba ya kupanga maeneo ya Chanika Dar. anaye fahamu nijulishe tafadhali
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Nyumba iwe nzur self-containe , vyumba v3 jiko, choo, stoo na iwe na mazingra mazur. Bei laki moja kwa mwezi.
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Wakubwa habari za wasaa. Naulizia wapi naweza pata hili tunda la strawberry. Mimi niko Dar es salaam, napenda kujua bei ni shingapi kwa sababu nataka kwa jumla niwe natengenezea yoghurt.
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimefanya kazi nyingi na nina uzoefu wa hali ya juu sana naomba kazi ya kupauwa nyumba yako napatikana Dar es salaam namba:0753540602 Pia nafunga gypsum vzuri sana Baadhi ya kazi zangu katika picha
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Hiyo ndio bajet yangu kama unayo nicheki... Iwe external au internal sawa tu Gb 1000 Isiwe na shida Pia kama una digit camera isizid laki nicheki
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Huawei P30 lite Used abroad Rom 128gb Ram 4gb 490,000 Tu 6 months warranty [emoji338]0676175260 [emoji736]Kariakoo Agrey & Msimbazi. [emoji736]Free Delivery Dar es Salaam Instagram @...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
PUNGUZO KWA ASILIMIA 50% EARPHONE OG KWA 5000 DELIVERY IPO Earphone Original za Samsung Mnaojua hizo earphone mtakua mashahidi moto wake ni wa kuotea mbali sisi tunazo og kabisa - Zinakubali kwa...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom